×

Kiungo Stars: Tutafia Uwanjani Dhidi ya Guinea

KIUNGO mkabaji wa timu ya taifa, Taifa Stars, Baraka Majogoro, amefunguka kuwa wamejipanga kupambana kwa nguvu kubwa kuhakikisha wanawafunga Guinea...

READ MORE

Baba Anaswa ‘Live’ Akimbaka Mwanaye wa Miaka 11

Polisi wilaya ya Serengeti mkoani Mara inamshikilia mkazi wa kitongoji cha Chamoto, Ikwabe Gibogo (58) kwa tuhuma za kumwingilia kimwili...

READ MORE

Mashine Mpya Yatambulishwa Simba

KLABU ya Simba imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa zamani wa Esperance YA Tunisia, ambaye ni raia wa Nigeria Junior Lokosa...

READ MORE

 Zahera: Kagere, Chama Wataibeba Simba Caf

Kocha wa zamani wa Yanga, Mwinyi Zahera, raia wa DR Congo, amefunguka kuwa anaamini Simba itafika mbali katika Ligi ya...

READ MORE

Simba, Yanga Wazidi Kunufaika na Zawadi za Spoti Xtra

NEEMA imezidi kuwashukia wasomaji wa Gazeti la Spoti Xtra ambalo linazidi kutoa zawadi mbalimbali kupitia chemsha bongo inayoendeshwa ndani ya...

READ MORE

Kortini kwa Tuhuma za Kukamatwa na Bangi – Video

  Wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama Machinga, Twaga Sultan na Abeid Ismail wakazi wa jijini Dar es Salaam wamefikishwa katika Mahakama...

READ MORE

Breaking News: Chelsea Yamtimua Frank Lampard

KLABU ya soka ya Uingereza, Chelsea,  imemfuta kazi kocha wake mkuu, Frank Lampard, kutokana na mwendelezo mbaya wa matokeo ya...

READ MORE

Rais Ajitangaza Hadharani Kuambukizwa ‘Corona’

  RAIS wa Mexico, Andres Manuel Lopez Obrador,  kupitia akaunti yake ya Twitter ametangaza kupata maambukizi ya virusi vya ugonjwa...

READ MORE

JPM Aanika Alichozungumza na Rais wa Ethiopia – Video

  RAIS  John Magufuli amempokea mgeni wake Rais wa  Ethiopia, Sahle-Work Zewde, aliyewasili nchini leo Januari 25, 2021, kwa ziara...

READ MORE

NAFASI YA KAZI: Mwalimu wa Hesabu Anahitajika Haraka

Shule ya awali na msingi ya Magreth inahitaji mwalimu wa hisabati darasa la iii, iv na v, mwombaji awe na...

READ MORE

Tanzia: Mama Mzazi wa DC Jerry Muro Afariki Dunia

MKUU wa Wilaya ya Arumeru, Jerry Muro, anasikitika kutangaza kifo cha mama yake mzazi, ANKUNDA MURO, kilichotokea katika Hospital ya...

READ MORE

Magufuli Ampokea Rais wa Ethiopia Chato

RAIS  John Magufuli, leo Januari 25, 2021, amempokea Rais wa Ethiopia, Sahle-Work Zewde, aliyekuja nchini kwa ziara ya kikazi ya...

READ MORE

Kumekucha! Acharuka Kuachana na Kusah

KUMEKUCHA! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel kucharuka ile mbaya kufuatia dua ya kumuombea aachane na...

READ MORE

Wachezaji 4, Rais, Rubani Wafariki kwa Ajali ya Ndege Brazil

WACHEZAJI wanne akiwemo rais wa klabu ya soka ya Palmas, Brazil, na rubani wamefariki katika ajali ya ndege ndogo jana,...

READ MORE

Makamu wa Rais Akerwa na Jumbe za Promo Kwenye Simu

MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan amesema inaudhi kupokea ujumbe kwenye simu wa promosheni unaotumwa na kampuni za simu za...

READ MORE

Exclusive: Mazito Yaibuka Watoto Wa Mondi

MJI mzito! Mambo kila siku yanaibuka mapya, lile suala la mama yake Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Sandra’ kutamka...

READ MORE

Liverpool Yachapwa na Man United, Yatupwa Nje Fa Cup

HALI imekuwa mbaya zaidi kwa Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp baada ya jana usiku kutupwa nje ya michuano ya FA...

READ MORE

Serikali Yabaini Day Care Centre za Kinyemela

Sakata la uendeshaji wa vituo vya kulelea Watoto Mchana (Day Care Centres) limeendelea kuchukua sura mpya ambapo Mkoani Tanga imebainika...

READ MORE

Wazazi wa King’ongo Wafurahia Neema kutoka NMB

  Wazazi katika Kata ya King’ongo, wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam wamefurahia neema ya madawati yaliyopelekewa katika Shule...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Januari 25, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Januari 25, 2021. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE