×

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Novemba 17, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 17, 2020. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Mo Atenga Mamilioni ya Ubingwa CAF

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’, amesema kuwa ameandaa bajeti kubwa ya fedha itakayowawezesha kufi ka...

READ MORE

Njia Waliyopita Tanzania U17 Hadi Kutwaa Ubingwa Cosafa

WIKIENDI iliyopita ilikuwa ni ya kitaifa zaidi kwenye anga la kimichezo, baada ya nyimbo za taifa kupigwa mara tatu katika...

READ MORE

Fuvu la Binadamu la Miaka Milioni 2 Lafukuliwa

Watafiti kutoka Australia wamesema wamegundua fuvu la binadamu lenye miaka milioni mbili nchini Afrika Kusini ambalo litatoa ufahamu zaidi kuhusu...

READ MORE

Spoti Xtra Kuingia Mtaani kwa Kishindo Kesho

KAMPUNI ya Global Publishers inayojihusisha na uchapaji wa magazeti ya michezo ya Championi na Spoti Xtra, kwa kutambua kiu ya...

READ MORE

Zari Ampiga Chini King Bae Wake wa Sauz

MREMBO na mwanamama Zari the Boss Lady amethibitisha kuachana na mwanaume wake aliyemtambulisha mtandaoni kama ‘King Bae’ ambaye alifikia hadi...

READ MORE

Tanzania Pekee Yatajwa Kutokuwa na Corona Ulimwenguni

RIPOTI iliyotolewa na Kituo cha Bara la Ulaya cha Kuzuia na Kudhibiti magonjwa (ECDC) na kisha ripoti hiyo kuchambuliwa na...

READ MORE

Mondi, Zuchu, Nandy Washinda Tuzo za AFRIMMAA

  WAANDAAJI wa tuzo za mashindano ya All-Africa Music Awards Msimu wa Saba (AFRIMMA) ambayo yamefanyika jijini Dallas, Texas, Marekani, ...

READ MORE

Dkt. Mpango: Tumefikia Uchumi wa Kati, Umaskini Bado Upo – Video

BAADA ya kula kiapo cha kuwa Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango amesema, pamoja na #Tanzania kuwa imeingia...

READ MORE

Corona: Waziri Mkuu wa Uingereza Ajipeleka Karantini Tena

Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson ametangaza kujitenga baada ya kukutana na Mbunge wa Ashfield, Lee Anderson ambaye baadaye alithibitishwa...

READ MORE

Taifa Stars Kibaruani Tena Kesho kwa Mkapa

KESHO timu ya Taifa ya Tanzani  (Taifa Stars) ina kibarua cha kusaka pointi tatu kwenye mchezo wa kufuzu Afcon 2021...

READ MORE

JPM: Lukuvi, Kabudi Hamtakuwa Marais, Jiandaeni Kisaikolojia – Video

RAIS John  Magufuli amesema kuwa hadhani kama chama chake kitapitisha mgombea wa urais anayezidi umri wa miaka 60 katika uchaguzi...

READ MORE

Obama: Marekani Imegawanyika Kambi Mbili

RAIS wa zamani wa Marekani, Barack Obama, amesema, matokeo ya uchaguzi wa mwaka huu yamedhihirisha kuwa, kuna mpasuko mkubwa wa...

READ MORE

Magufuli: Sina Haraka ya Kuteua Mawaziri… – Video

  RAIS John  Magufuli amesema kazi ya kuteua mawaziri ni ngumu, hivyo lazima amtangulize Mungu, ili anayestahili asije akamuonea, huku...

READ MORE

Wema: Nikipata Mtoto Nitachanganyikiwa

MREMBO anayesukuma maisha yake kupitia ulimwengo wa Bongo Muvi, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amevunja ukimya na kusema kuwa siku Mungu akimjalia...

READ MORE

Magufuli Amwapisha Majaliwa, Kabudi & Mpango – Video

RAIS John Magufuli amemuapisha Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania baada ya kuteuliwa Novemba 12, 2020 na kuthibitishwa na...

READ MORE

Majaliwa Atoa Siku 4 Sakata la Bei Saruji – Video

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa siku nne kuanzia leo hadi kufikia Novemba 20, wakuu wa mikoa kupita kwenye viwanda na...

READ MORE

JPM: Uwaziri Mkuu Hauna ‘Guarantee’, Nampa Pole Majaliwa… – Video

RAIS John Magufuli amesema kuwa kazi ya Uwaziri Mkuu haina dhamana kwamba kila atakayeteuliwa atakaa kwa miaka mitano kwani anaweza...

READ MORE

Rais Peru Ajiuzulu Siku 5 Baada ya Kuapishwa

ALIYEKUWA Rais wa Mpito wa Peru, Manuel Merino, ametangaza kujiuzulu wadhifa huo  ikiwa ni siku tano tangu kuchaguliwa baada ya...

READ MORE

Trump Akiri Biden Kushinda Uchaguzi

  RAIS wa Marekani ambaye pia alikuwa anatetea kiti chake kwa tiketi ya Chama cha Republican, Donald Trump, kwa mara...

READ MORE