×

Harmonize Alizwa Mamilioni YouTube

Staa wa Bongo Fleva ambaye pia ni bosi wa lebo kubwa ya muziki nchini Tanzania ya Konde Gang Music Worldwide,...

READ MORE

Baada ya Ushindi, Yanga Yatahadharishwa

Kocha mkuu wa KMC Habibu Kondo, amewatahadharisha Yanga kutokwenda na matokeo kichwani katika mechi dhidi yao itakayochezwa Jumapili ya tarehe...

READ MORE

Msikiti wa JPM Chamwino Wakamilika

MWONEKANO wa Msikiti wa Chamwino mkoani Dodoma ulioahidiwa na Rais John Pombe Magufuli, ukiwa umekamilika.

READ MORE

Video: Rais Magufuli Azindua Safari Za Treni Dar-Tanga-Arusha

RAIS Magufuli leo Oktoba 24, 2020 amezinduzi rasmi wa treni ya abiria inayofanya safari zake kati ya Dar es Salaam...

READ MORE

Beyonce na Kauli Yake Iliyozua Jambo Sakata la Nigeria

RIHANNA, Kanye West na Nicki Minaj ni miongoni mwa watu mashuhuri ambao wamejitokeza kuunga mkono maandamano dhidi ya ukatili wa...

READ MORE

Al Ahly Watinga Fainali Mabingwa Afrika

KIGOGO wa soka kutoka Morocco, Wydad Casablanca, amekubali kapigika nje-ndani kwenye mtanange wa nusu fainali ya ligi ya mabingwa Afrika...

READ MORE

Ben Pol Abadili Dini, Awa Muislam

MSANII maarufu wa miondoko ya RnB nchini, Ben Pol, jana Ijumaa, Oktoba 23, 2020 ametangaza kubadili itikadi ya dini kitoka...

READ MORE

Lyyn Ampakulia Minyama Kiba!

Sexy lady wa Bongo Fleva, Irene Louis ‘Lyyn’ amempakulia minyama kama yote mfalme wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King...

READ MORE

EL Clasico – Mechi ya Kipekee, Barcelona Kuwakaribisha Real Madrid

Ni mara chache sana kuona mechi inateka hisia za mashabiki ulimwenguni kama ilivyo El Clasico! Hilo sio jambo la kushangaza...

READ MORE

Mbwa wa Ajabu Azaliwa

Mbwa wa Cristian Mallocci alimuonesha mmiliki wake maajabu baada ya kuzaa mbwa asie wa kawaida. Mbwa huyo aliyepewa jina Pistachio...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Risasi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Risasi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Oktoba 24, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Oktoba 24, 2020. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

RC Kunenge Afanya Ziara ya Kushtukiza Bandari -Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Abubakar Kunenge amefanya ziara ya kushtukiza kwenye bandari ya Dar es salaam...

READ MORE

Meneja Kampeni Mgombea Ubunge Afariki, Chanzo Hiki Hapa…

POLISI mkoani Mwanza wanachunguza chanzo cha kifo cha Deogratias Medard (42) mkazi wa Sengerema aliyefariki dunia muda mfupi baada ya...

READ MORE

Mdose: Kitakachoikuta E- Media Watasimulia

BEKI wa kati wa kutegemewa ndani ya kikosi cha Global FC, Omary Mdose, ameeleza kuwa wameshanoa makali yao tayari kwa...

READ MORE

Uwanja wa Mkapa Wafungwa

BODI  ya Ligi kuu Tanzania (TBLP) imetoa taarifa kuwa mechi zote za Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2020/21 zilizopangwa...

READ MORE

Hotuba za Hitler Zapigwa Mnada

HOTUBA nane za kiongozi wa zamani wa Ujerumani, Adolf Hilter, zimepigwa mnada mapema leo kwenye Jiji la Munich, kwa kwa...

READ MORE

Kaze Asaka First Eleven ya Kuiangamiza Simba

KOCHA Mkuu wa Yanga, Cedric Kaze, anataka kukibadilisha kikosi chake hicho kabla ya kuwavaa wapinzani wao Simba, Novemba 7.  ...

READ MORE

Shigongo Na Mgombea wa Chadema Wakutana – Video

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Buchosa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo James, akiwa na Mgombea Ubunge wa Jimbo...

READ MORE

Rekodi za Dube Zamfunika Kagere

MASHABIKI wamelinganisha kasi aliyoanza nayo mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita, Meddie Kagere na hii aliyoanza nayo straika...

READ MORE