×

Rayvanny Atisha Cuppy, Rema!

STAA mwingine wa Bongo Fleva kutoka Usafini WCB, Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ ambaye anatesa Afrika Mashariki, sasa ametisha kule Afrika Magharibi...

READ MORE

Luis: Tutaweka Rekodi Kombe la Shirikisho

KIUNGOmshambuliaji wa Simba, Luis Miquissone,amefunguka kuwa wataweka rekodi kwenye mechi yao ya fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam (FA),...

READ MORE

Mbio za Kupanda Ligi Kuu zimepamba Moto

Ijumaa iliyopita Leeds United walitwaa Ubingwa wa EFL Championship, kutwaa ubingwa huo umewahakikishia nafasi ya kushiriki Premier league msimu ujao,...

READ MORE

Kagere Aibuka Kwenye Dakika 270, Luis Ndani

MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba wameshindikana kwenye mechi zao tatu ambazo ni dakika 270 walizocheza Uwanja wa Taifa...

READ MORE

Zidane Ataja Sababu Ya Kumtema Bale

KOCHA wa Real Madrid, Zinedine Zidane, amesema kukosekana kwa kiungo Gareth Bale katika sare dhidi ya Leganes, ilikuwa ni kwa...

READ MORE

Nafasi ya kazi Plan International – Education in Emergency specialist

Education in Emergency Specialist -LEGO PROJECT Date: 20-Jul-2020 Location: Kibondo, 08, TZ Company: Plan International The Organisation Plan International is...

READ MORE

Ole Sendeka Aongoza Kura za Maoni CCM Jimbo la Simanjiro

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka, ameongoza katika uchaguzi wa kura za maoni wa Jimbo la Simanjiro...

READ MORE

Lowasa Aongoza Kura za Maoni Jimbo la Monduli

Fredy Lowasa ambaye ni mtoto wa Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowasa, Julai 21, 2020 ameibuka mshindi wa kura za maoni...

READ MORE

Kura Za Maoni-Sengerema: William Ngeleja Ashika Namba 2

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo Sengerema katika Bunge lililopita, William Ngeleja ameshika nafasi ya pili akiwa na kura 120 katika kura...

READ MORE

Yondani Atoweka Yanga, Kocha Amtafuta

BEKI wa kati wa Yanga, Kelvin Yondani hajaonekana kwenye timu hiyo tangu baada ya kutoka sare dhidi ya Mwadui katika...

READ MORE

Kura Za Maoni-Bunda Mjini: Maboto Aongoza, Wasira Ashika Nafasi ya Pili

Robert Maboto ameibuka kidedea kwa kupata kura 140 huku Mzee Stephen Wassira akiwa nafasi ya pili kwa kura 115. Namba...

READ MORE

Simba Yaweka Rekodi za Kibabe Bongo

SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba ameweza kukiongoza kikosi chake kuweka rekodi za kibabe ndani ya Ligi Kuu Bara kwa...

READ MORE

Hamis Taletale Ameongoza Morogoro Kusini-Mashariki

Hamis Taletale maarufu kama Babu Tale ameongoza katika kura za maoni kwa kupata kura 318 Nafasi ya pili katika kura...

READ MORE

Kura Za Maoni-Tarime Vijijini: Mwita Waitara Ameongoza

Naibu wa Waziri wa TAMISEMI, Mwita Waitara ameibuka kidedea kwa kupata kura 291. Alikuwa Mbunge wa Ukonga Bunge lililopita James...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumatano, Julai 22, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Julai 22, 2020 Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Risasi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Risasi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Fursa ya Ajira (Kwenye Tasnia ya Habari na Masoko – Marketing)

  GLOBAL GROUP, ni kampuni inayomiliki, pamoja na makampuni mengine, kampuni ya uchapishaji magazeti – Global Publishers Ltd na runinga...

READ MORE

Diamond Akabidhi Misaada Kwa Watoto Yatima -Video

 MKURUGENZI wa Wasafi Media na Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, akishirikiana na Pari Match leo Julai  21, 2020,...

READ MORE

Jela Maisha kwa Kubaka Mwanafunzi wa Miaka 5

MAHAKAMA ya Wilaya ya Kigoma imemhukumu mkazi wa Katubuka Manispaa ya Kigoma/Ujiji, Jeremia Kilahunja (49), kifungo cha maisha jela kwa...

READ MORE