×

Simba Yapania Rekodi Mpya Bara

KLABU ya Simba imeeleza kuwa licha ya kufanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, lakini wanahitaji rekodi zaidi...

READ MORE

Membe Kutambulishwa Rasmi ACT- Wazalendo Kesho

KIONGOZI Mkuu wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameweka wazi kuwa kesho Julai 16, 2020, watamtambulisha rasmi aliyekuwa waziri wa...

READ MORE

SADC Yazipongeza Tanzania na Mauritius Kupanda Kiuchumi

  Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezipongeza nchi za Tanzania na Mauritius kwa kufanikiwa kuingia katika uchumi wa...

READ MORE

Yanga SC Yashtukia Ishu ya Morrison

UONGOZI wa Yanga umesema kuwa kiungo wao Mghana, Bernard Morrison asitegemee wao kutangaza kuvunja mkataba wake huku wakisisitiza kuwa mchezaji...

READ MORE

Mshindi Baba Lao: Nilidhani Matapeli, Leo Nimekabidhiwa Gari – Video

  HATIMAYE lile Shindano la promosheni ya  #ChomokaNaGari2020  #BabaLao, aina ya Toyota FunCargo limetamatika baada ya mshindi wa bahati nasibu...

READ MORE

Alichokifanya ‘Kigelele Yanga’ Mbele ya Manara – Video

SHABIKI wa Yanga, Nyambese Mwita Wambura maarufu kwa jina la Kigelegele, ameeleza alivyopata wakati mgumu kuchanganya maelfu ya kuponi za...

READ MORE

Majaliwa Achukua Fomu Kutetea Jimbo Lake

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa akifuatana na mkewe, Mary Majaliwa, amechukua fomu za kuwania tena Ubunge wa Jimbo la Ruangwa,...

READ MORE

Simba, Yanga Waingiza Milioni 269

SHIRIKISHO la Soka Tanzania, (TFF) limeweka wazi mapato ya mchezo wa hatua ya nusu fainali ya Kombe la FA kati...

READ MORE

Manara Ampa Kigelegele Yanga Elfu 40, Kila Bao Buku 10 – Video

MSEFMAJI  wa Klabu ya Soka ya Simba, Haji Manara, ametoa kiasi cha fedha Tsh 40,000 kwa shabiki wa Yanga, Nyambese...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Risasi kirahisi zaidi

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Risasi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Makonda Kuwania Ubunge Kigamboni

MKUU  wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, leo Julai 15, 2020,  amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania...

READ MORE

DKT Abbas anazungumza , makabidhiano ya Hati ya COSOTA kutoka Wizara ya Viwanda

DKT ABBAS ANAZUNGUMZA, MAKABIDHIANO YA HATI YA KUHAMISHA COSOTA KUTOKA WIZARA YA VIWANDA Ni matangazo ya moja kwa moja ya...

READ MORE

Nafasi za Kazi Assistant Lecturer , Institute of Accountancy Arusha (IAA)

  POST ASSISTANT LECTURER (ACCOUNTING AND FINANCE) – 1 POST POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING EMPLOYER Institute of Accountancy Arusha...

READ MORE

Vodacom Tanzania Foundation yatoa zawadi kwa washindi wa mashindano ya Kitaifa ya teknolojia na Ubunifu (MAKISATU 2020)

Meneja Mauzo Vodacom Kanda ya Kati ,Grace Chambua (kulia)akiwa na Naibu Waziri Wizara  ya Elimu,Sayansi na Teknolojia ,William Ole Nasha...

READ MORE

Video: Mzee Yusuph Arejea Stejini | Katambuga

 ALIYEKUWA  mwanamuziki wa nyimbo za taarab nchini, na akaacha kwa muda, Mzee Yusuph, leo Juni 15, 2020, amesema ametenga...

READ MORE

Walioshinda Kura za Maoni za Ubunge Chadema

  WASHINDI  wa uchaguzi kwenye kura za maoni za ubunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA) waliopita kwenye...

READ MORE

Watu 140 Wafariki kwa Mafuriko China

SERIKALI imesema mafuriko mabaya zaidi kutokea ndani ya miaka zaidi ya 30 nchini China  yamesababisha vifo vya watu takriban 140,...

READ MORE

Serikali Yapinga Wadhamini wa Lissu Kujiondoa

UPANDE wa Mashitaka umewasilisha pingamizi la awali katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kupinga maombi yaliyowasilishwa na wadhamini wa aliyekuwa...

READ MORE

Wagonjwa wa Corona Kusakwa Nyumba kwa Nyumba

KUFUATIA ongezeko la visa na vifo nchini Ufilipino, Polisi pamoja na Mamlaka zitaendesha msako wa nyumba kwa nyumba kwa lengo...

READ MORE

Mnyika ‘Aukacha’ Ubunge, Mgawe Ashinda Kibamba

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John  Mnyika, “ameutema rasmi” ubunge wake, katika jimbo la Kibamba jijini...

READ MORE