×

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la SpotiXtra na Gazeti la Amani kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Simba Queens Yampiga Mtu 10

ILiKUWa siku mbaya kwa timu ya Panama girls ya iringa ilipojikuta wavu wake ukitikiswa mara 10 na wachezaji wa Simba...

READ MORE

David Molinga Aipiga Mkwara Biashara United

DAVID Molinga ambaye ni mtupiaji namba moja ndani ya Klabu ya yanga, amesema kuwa wamekubaliana kwa pamoja kupata pointi tatu...

READ MORE

John Bocco: Hatufungwi Tena na Yanga

NAHODHA wa Klabu ya Simba, John Bocco amesema kuwa nyota wa kikosi hicho wameapa kuwa hawatakubali kufungwa tena na Yanga...

READ MORE

Kapombe Kuikosa Ndanda, Apelekwa Muhimbili

BEKI kiraka wa pembeni wa Simba, Shomari Kapombe ameondolewa kwenye msafara wa timu hiyo ulioelekea mkoani Mtwara kucheza na Ndanda...

READ MORE

Linah, Dj Wa Harmo, Mambo Ni Moto!

PENZI la mwanamuziki kunako gemu la Bongo Fleva, Estelina Sanga ‘Linah’ na DJ Seven ambaye ni DJ wa mwanamuziki na...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Risasi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Risasi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Rais Shein Aongoza Kikao Cha NEC Zanzibar Leo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein  leo ameendesha...

READ MORE

Tshishimbi Aiwahi Simba FA Cup

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbelgiji, Luc Eymael amefunguka kuwa ana uhakika nahodha wa timu hiyo, Papy Tshishimbi, raia wa DR...

READ MORE

Takukuru Yawajibu CHADEMA Ikidaiwa Inatumika Kisiasa

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imejibu madai ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuwa inatumika kisiasa,...

READ MORE

Wanafunzi 3 Wafariki Bweni Ilala Islamic Lakiungua Moto

WANAFUNZI watatu wamefariki dunia baada ya moto uliozuka usiku wa kuamkia leo kuunguza bweni la Shule ya Sekondari ya Ilala...

READ MORE

Kiba, Meneja Wake Kimenuka!

  Kimenuka? Upepo unadaiwa si mzuri kati ya mfalme wa Bongo Fleva, Ali Salehe Kiba ‘King Kiba’ na meneja wake,...

READ MORE

Mtamuona Mume Wa Dayna Akishamuoa

MWANAMUZIKi anayefanya poa kunako uwanda wa Bongo Fleva, Mwanaisha Nyange ‘Dayna’, amefunguka sababu ya kuficha uhusiano wake na kwamba mumewe...

READ MORE

Nafasi za Kazi Tatu; Pharmaceutical Assistant – Drug Dispenser

Pharmaceutical Assistant – Drug Dispenser (3-Positions) The Tanzania Red Cross Society is a voluntary humanitarian organization established as an independent...

READ MORE

Safari ya Okwi Simba, Dili Limeiva

MSHAMBULIAJI Emanuel Okwi ambaye ni rafiki mzuri wa kufumania nyavu, unaweza kusema kuwa rasmi kwa mara nyingine anaelekea kuwa mali...

READ MORE

Nandy, Tanasha Watangaza Hali Ya Hatari

Mastaa wa kike wa muziki Afrika Mashariki, Faustina Charles ‘Nandy’ na Tanasha Oketch Donna, wametangaza hali ya hatari.   Tanasha...

READ MORE

Dkt. Tulia Aipongeza Benki ya CRDB Kupunguza Riba Ya Mikopo

Akitoa hotuba yake katika hafla ya uzinduzi wa “CRDB Malkia” iliyokuwa na kauli mbiu ya “Fanikisha Zaidi na CRDB Malkia”,...

READ MORE

Lissu Kurejea Nchini Mwisho wa Julai

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasika na Maendeleo (Chadema) Bara, Tundu Lissu, amesema atarejea Tanzania mwishoni mwa mwezi huu (Julai)...

READ MORE

Msuva Aongeza Mwaka Morocco

WINGA wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva ameongeza mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kuitumikia klabu ya Difaa El Jadida inashiriki...

READ MORE