×

Simba Yaingilia Dili La Sarpong Yanga

KOCHA mkuu wa Yanga, Mbelgiji, Luc Eymael amesikia ishu ya Simba kumfukuzuia mshambuliaji wa Rayon Sports, Mghana Michael Sarpong, lakini...

READ MORE

Katibu Mkuu wa TFF Ahojiwa Takukuru

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru), jana ilimuita ofisini kwao Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania...

READ MORE

Msigwa Amuomba Radhi Kinana Kumtuhumu kwa Ujangili

MBUNGE wa Iringa Mjini, Peter Msigwa,  amemwomba radhi Katibu Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, kutokana na...

READ MORE

Deo Kanda Aumia Mazoezini

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, raia wa DR Congo, Deo Kanda, katika mazoezi ya juzi Jumatatu yaliyofanyika katika Ufukwe wa Escape...

READ MORE

Burundi Wanafanya Uchaguzi Wa Kumchagua Rais Leo

Hatimaye Uchaguzi Mkuu wa Burundi uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu huku ukielezwa kuwa ni mwanzo mpya wa Demokrasia katika nchi hiyo,...

READ MORE

Kiwanga: Kilio cha Lijualikali ni Usanii, Kilombero Wamemchoka – Video

  MBUNGE wa Mlimba kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Suzan Kiwanga leo Jumatano, Mei 20, 2020, amefunguka kuhusu...

READ MORE

Corona: Sekta Zinavyobadili Sera za Kiutendaji Kupunguza Maambukizi

Mlipuko wa homa ya kirusi cha corona umelazimisha sekta nyingi kutazama upya namna zinavyoendesha kazi zake. Katika juhudi za kupunguza...

READ MORE

Nafasi Ya Kazi TFF, Communication Officer

Communication Officer Tanzania Football Federation (TFF) through its organ Tanzania Premier League Board (TPLB) is mandated to manage its Brands’...

READ MORE

Mrembo Alia Mastaa Bongo Kumpora Mzungu Wake

  DAR: Mrembo Aziza Mwakalukwa ‘Azzysuperstar’ ambaye ni msanii wa Bongo Fleva, amelia kutaka kuporwa mumewe, Wolf Gang ambaye ni...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumatano, Mei 20, 2020

 Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo MEI 20, 2020. Ni yale ya...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Risasi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Risasi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani ya nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Waziri Mkuu Awasimamisha Kazi Watumishi Watatu TEMESA

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi watumishi watatu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kwa tuhuma za kuhusika...

READ MORE

RC Makonda: “Fungueni Hoteli, Mliokimbia Dar Rudini Tupige Kazi” -Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda leo Machi 19, 2020 amewasihi Wafanyabiashara na wananchi wa mkoa huo kuhakikisha wanaanza...

READ MORE

Idris Sultan Akamatwa na Polisi Dar

Mchekeshaji huyo ambaye aliwahi kuwa mshindi wa kipindi cha televisheni cha uhalisia cha ‘Big Brother Africa’ Idris Sultan leo Mei...

READ MORE

Balozi Wa Kenya: Adui wa Tanzania na Kenya Ni Corona Virus – Video

     BAADA ya kutokea kwa sintofahamu ya kufungwa kwa mipaka kati ya Tanzania na Kenya, hatimaye ubalozi wa...

READ MORE

Kisa Mil 344, Straika Rasta Rasmi Aitosa Simba

INAELEZWAkuwa uongozi wa Simba ulikuwa kwenye vita nzito ya kuwania saini ya mshambuliaji wa Asante Kotoko ya Ghana, Yacouba Songné,...

READ MORE

Bunge Lapitisha Sheria: Wasambazaji Sukari Kusajiliwa

BUNGE limepitisha muswada wa marekebisho ya sheria ya tasnia ya sukari, kwamba wasambazaji wa bidhaa hiyo ni miongoni mwa watu...

READ MORE

Trump: Natumia Hydroxychloroquin Kujilinda na COVID-19

  RAIS Donald Trump wa Marekani amesema anatumia dawa ya hydroxychloroquine ya kutibu malaria, kujilinda na maambukizi ya virusi vya...

READ MORE

Dilunga Ajifunga Miaka Miwili Simba

SASA rasmi kiungo mshambuliaji wa Simba, Hassani Dilunga, amesaini mkataba wa miaka miwili ya kuendelea kukipiga Msimbazi baada kufi kia...

READ MORE