×

Mama Mbaroni kwa Kutelekeza Watoto Shambani

POLISI mkoani Mwanza imemkamata Happiness Mafuru (23) kwa tuhuma ya kuwatelekeza watoto wake wawili katika majaluba ya mpunga majira ya...

READ MORE

Mabilioni Yachangwa Kutafuta Chanjo ya Corona

VIONGOZI wa dunia wameahidi kuchangisha Euro Bilioni 7.4 kwa ajili ya kufanya utafiti na kutengeneza chanjo dhidi ya virusi vya...

READ MORE

Nafasi za Kazi 25 Nkamson Consultancy Company Ltd (NCCL)

Background Nkamson Consultancy Company Ltd (NCCL) is a semi-profit firm with the primary focus of providing Professional Consultancy Service in...

READ MORE

Gavana Kenya Apiga Marufuku Uuzaji Ng’ombe wa Tanzania

GAVANA wa Kajiado, Joseph Lenku, amefunga kabisa uuzaji wa ng’ombe katika kaunti hiyo kutoka Tanzania kutokana na visa vya maambukizi...

READ MORE

Mtoto wa Miezi 6 Akutwa na Virusi vya Corona

WIZARA ya Afya nchini Kenya imetangaza ongezeko la visa 25 vya #COVID19 baada ya sampuli 1,012 kufanyiwa vipimo na kufanya...

READ MORE

Tanzia: Dkt. Lamwai Afariki Dunia

MWANASIASA na mwanasheria mkongwe, Dkt. Masumbuko Lamwai amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Mei 5, 2020.   Dkt. Lamwai aliwahi...

READ MORE

Ndoa ya Ben Pol Mambo Yanoga

DAR: UKISIKIA mambo ni moto, basi ujue ni moto kwelikweli baada ya Msanii wa Bongo Fleva, Benard Paul ‘Ben Pol’...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumanne, Mei 4, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo MEI 5, 2020. Ni yale ya Hard-news, Udaku na Michezo....

READ MORE

Mbunge Aliyetangazwa Kuwa na #Coronavirus Anaendelea Vizuri

Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema Mbunge aliyetangazwa kuwa na maambukizi ya #CoronaVirus mwezi uliopita anaendelea vizuri na anasubiri vipimo...

READ MORE

Wema, Mobeto Wapewa Makavu

MASELEBRITI wawili Bongo, Isaac Sepetu na Hamisa Mobeto wapepewa makavu na mshabiki wao baada ya kuoneshana ushosti wa kukomentiana kwenye...

READ MORE

Rwanda Yamuachia Kagere kwa masharti

MSHAMBULIAJI wa Simba, Meddie Kagere na kocha wa Namungo, Thiery Hitimana, leo Jumatatu wanatarajia kutoka nje ya makazi yao kwa...

READ MORE

Sallam Aibua utata kujitoa wasafi

DAR: Mmoja wa mameneja wa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sallam Ahmed Sharaff ‘Mendez’ ameibua utata mpya wa kudaiwa kujitoa kwenye...

READ MORE

RC Makonda: Kuhakiki Taarifa za Mpiga Kura Dar Mwisho Leo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,  Paul Makonda leo Mei 3, 2020 amewataka wakazi wa Dar es Salaam ambao...

READ MORE

Lusajo Awapa Masharti Yanga ili Asaini

RELLIANTS Lusajo, mshambuliaji wa Namungo FC, amesema iwapo Yanga au Simba zinahitaji saini yake, ni lazima ahakikishiwe kucheza kikosi cha...

READ MORE

Bifu Kwisha! Kusaga Aagiza Nyimbo za Diamond Zipigwe Clouds

MKURUGENZI Mtendaji wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga amemaliza bifu lililokuwepo kati ya chombo hicho cha habari pamoja na msanii...

READ MORE

ZFF Waionya TFF Mgawo wa Mamilioni ya Fifa

SHIRIKISHO la Soka Zanzibar (ZFF), limetoa angalizo kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuhusu mgawo wa dola laki tano (zaidi...

READ MORE

Wabunge Chadema Wakaidi Agizo la Mbowe, Watinga Bungeni

WABUNGE watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wapo bungeni leo wakiendelea na kazi ya kuwakilisha wananchi wao bungeni...

READ MORE

Nandy: Isingekuwa Corona Ingekuwa Balaa Tupu

DAR: Staa wa Bongo Fleva, Faustina Charles ‘Nandy’ amesema kama siyo janga la Corona angefanya balaa nchini Marekani.   Nandy...

READ MORE

Mchizi Mox Apambana na Hali Yake

MKALI wa kitambo kunako Bongo Hip Hop, Taikuni Ally ‘Mchizi Mox’ amesema, yupo fiti na anapambana na hali yake ili...

READ MORE

RC Makonda Atangaza Vita na Wanaopandisha Bei ya Sukari – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda leo ametangaza vita na wafanyabiashara wanaouza sukari kwa bei ghali...

READ MORE