×

Beki Rasta Atembea na Mkataba wa Yanga

  BEKI wa pembeni wa Yanga, rasta Jaffary Mohammed, amesema kuwa anasubiri kusaini mkataba mpya kuendelea kubakia kwenye klabu yake...

READ MORE

Ummy Amsimamisha Kazi Mkurugenzi Maabara ya Taifa

KUFUATIA hotuba ya Rais  John Magufuli aliyoitoa jana Mei 03, 2020, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amemwagiza Katibu Mkuu wa...

READ MORE

Alikiba Kutoa PPE 200 Kupambana na Corona

STAA wa Bongo Fleva, Alikiba,  amesema taasisi yake ya Kiba Foundation itatoa msaada wa mavazi 200 ya wahudumu wa afya...

READ MORE

Maambukizi Corona Yafikia Mil. 3.5 Duniani

MAAMBUKIZI ya virusi vya Corona duniani yamefikia watu milioni 3.5 leo Jumatatu, Mei 4, 2020, wakati idadi ya vifo vinavyosababishwa...

READ MORE

Wenye Virusi vya Corona Uganda Wafika 89

WIZARA ya Afya nchini Uganda imesema kuna ongezeko la mgonjwa mmoja wa corona na kufanya jumla ya maambukizi kufikia 89...

READ MORE

INFINIX NOTE 7 SIMU YENYE TEKNOLOJIA KALI KUZIDI ZOTE KWA MWAKA 2020.

Dar es Salaam, Tanzania-5/5/2020: Kupitia kurasa zao pendwa za mitandao ya kijamii @infinixmobiletz kampuni ya simu ya Infinix imezindua rasmi...

READ MORE

Baba D Ampigia Saluti Mondi

  DAR: Baada ya Diamond Plutnumz kuonyesha karatasi aliyolipia familia za watu 500 kulipia kodi za nyumba kwa muda wa...

READ MORE

BIOLOGY: Evolution (FORM FOUR) – Video

Ni wiki nyingine ambapo programu ya Jipange na Pepa inazidi kushika kasi, leo ikiwa ni zamu ya Somo la Biology...

READ MORE

Aua Watoto Wake 2 Baada ya Kugombana na Mama Yake Mzazi

POLISI katika Kaunti ya Nairobi wanachunguza kisa ambapo mama mmoja mwenye umri wa miaka 24 aliwadunga kisu na kuwaua wanawe...

READ MORE

Corona: Hispania Yalegeza Masharti, Watu Waanza Kutoka Nje

WANANCHI nchini Hispania, wameruhusiwa kuanza kutoka nje baada ya kukaa ndani kwa siku 48 kufuatia mlipuko wa virusi ya Corona...

READ MORE

Korea Kaskazini na Korea Kusini Zashambuliana kwa Risasi

SERIKALI ya Korea Kusini imesema jana wanajeshi wake wamefyatuliana risasi na wanajeshi wa Korea Kaskazini katika eneo lisilo na shughuli...

READ MORE

Jamii Yashauriwa Kuwatumia Wasaidizi wa Kisheria

Jamii nchini imeshauriwa kutumia fursa ya wasaidizi wa kisheria ambao wapo nchi nzima ili kupata msaada na ushauri wa kisheria...

READ MORE

Wagonjwa wa Corona Kenya Wafikia 465

WIZARA ya afya nchini Kenya imethibitisha maambukizi mapya 30 ya virusi vya corona baada ya sampuli 883 kufanyiwa vipimo katika...

READ MORE

Mlemavu Apata Ajali Tena “Nilisukumwa na Watoto” – Video

GLOBAL TV imemtembelea nyumbani kwake mzee Shomari Mhando, mlemavu wa miguu ambaye amepata balaa lingine la kuvunjika mkono baada ya...

READ MORE

Nahodha Yanga Awapa Tano Mabosi Wake

BEKI wa kulia wa Yanga, ambaye pia ni nahodha msaidizi kikosini hapo, Juma Abdul, ameupongeza uongozi wa timu hiyo katika...

READ MORE

Mbunge Koka Akabidhi Baiskelii 95 Jimboni Kwake, Azungumza..

MBUNGE wa Jimbo la Kibaha Mjini, Slyvestry Koka, amekabidhi Baiskeli 95 zenye thamani ya Shilingi Milioni 25 kwa Viongozi wa...

READ MORE

Niyonzima: Kagere Ndiye Mchezaji Bora Bongo

KIUNGO fundi wa Yanga, Haruna Niyonzima, amemtaja mshambuliaji wa Simba, Meddie Kagere kuwa ndiye mchezaji wake bora zaidi wa kigeni...

READ MORE

Nafasi za Kazi Kay’s Hygiene Product Ltd., SECRETARY

Kay’s Hygiene Product Ltd. company based in Dar es Salaam is looking for: SECRETARY (1 POST) Qualifications: Must be Form...

READ MORE

Breaking: Mchungaji Peter Mitimingi Afariki Dunia

Mchungaji Dkt. Peter Mitimingi amefariki usiku wa kuamkia leo Mei 4, 2020  jijini Aruaha alikuwa ni kiongozi wa Kanisa la...

READ MORE