×

Niyonzima Achimba Mkwara Mzito Yanga

KIUNGO mnyumbulifu wa Yanga, Haruna Niyonzima, amesema endapo Ligi Kuu Bara, itarejea timu yake ina uhakika mkubwa wa kucheza michuano...

READ MORE

Madiwani Kinondoni Wampongeza Mkurugenzi Kwa Kufanya Vizuri Kwenye Miradi Ya Maendeleo

    Baraza la madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni limempongeza Mkurugenzi Ndugu. Aron Kagurumjuli kwa kutekeleza miradi mikubwa...

READ MORE

Marekani Yadai Uwezekano wa Kupata #Covid19 Dar ni Mkubwa

Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umedai kuwa hatari ya kupata #COVID19 katika mkoa wa Dar ni kubwa japo hakuna ripoti rasmi...

READ MORE

Brazil: Watu 881 Wafariki kwa Covid19 Ndani ya Saa 24

  Wizara ya Afya nchini Brazil imethibitisha jumla ya vifo 12,400 kutokana na #COVID19 huku idadi ya visa ikifika 178,214...

READ MORE

BMT Yatoa Siku Tisa Kwa Wadau wa Soka Kutoa Maoni

Serikali ya Tanzania imetoa siku tisa kuanzia leo Jumatano kwa wadau wa soka kutoa maoni yao juu ya idadi ya...

READ MORE

Nafasi za Kazi TARI, Agricultural Research Officers

AGRICULTURAL RESEARCH OFFICER II – 2 POST The Tanzania Agricultural Research Institute (TARI) was established by the Parliamentary Act No....

READ MORE

Vodacom yawapongeza Watoa huduma wanaowasaidia wagonjwa wenye COVID-19

Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation leo imekabidhi vyakula na vitu vingine vyenye thamani ya TZS milioni 177 kusaidia vituo vya...

READ MORE

Meneja Ataja Timu Anayokwenda Ajibu

MENEJAwa nyota wa klabu ya soka ya Simba Ibrahim Ajibu, Hanii Kessy, amesema kuwa kwa sasa mipango yao ni kumtafutia...

READ MORE

Kisa usajili… Bosi Simba SC Atoa Kauli Ya Kibabe

MTENDAJIMkuu wa Simba, Senzo Masingiza amesema kuwa mashabiki wa Simba wanatakiwa wawe watulivu kuhusiana na usajili wa wachezaji wapya ndani...

READ MORE

Tunduma: Agizo la Rais Latekelezwa, Magari 1,000 Yakwama Mpakani

IKIWA ni siku moja tangu kuanza kutekelezwa kwa agizo la Serikali ya Zambia kufunga mpaka wake na Tanzania, hali hiyo...

READ MORE

Rais Shein Atoa Tamko Kuhusu #Covid19

  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Serikali ya Mapinduzi, Dkt. Ali Mohamed Shein amewataka viongozi wa mikoa ya Pemba...

READ MORE

Watanzania Waliokutwa na #Covid19 Wazuiwa Kuingia Kenya

SERIKALI ya Kenya imewarudisha Watanzania wawili jana Mei 12, 2020,  waliokuwa wanataka kuingia Kenya baada ya Watanzania hao kuthibitika kuwa...

READ MORE

Kagere Aweka Rekodi, Apiga Mabao 69

REKODI ya mshambuliaji wa Simba, Meddie Kagere, katika upachikaji wa mabao inatisha kutokana na straika huyo kufunga mabao 69 katika...

READ MORE

TAMISEMI: Waliopata Ajira Mpya za Kada za Afya Mei, 2020 (Health Sector)

TAMISEMI has released the provisional list of candidates who have been selected for the vacancies advertised to join Ministry of...

READ MORE

Matukio ya Watu Kuanguka Mitaani na Kufa, Madaktari Wanena Mazito

KUTOKANA na wimbi la watu wenye umri chini ya miaka 50 kuanguka na kupata kiharusi na wanapopimwa hubainika kuwa na...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Risasi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Risasi  kirahisi zaidi popote ulipo, ndani ya nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumatano, Mei 13, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo MEI 13, 2020. Ni yale ya Hard-news, Udaku na Michezo....

READ MORE

Ray Alia na Waziri Mwakyembe

  STAA wa filamu za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ amelia na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini, Dk...

READ MORE

Mama Gigy Aja Juu, Kisa Mkwewe!

MAMA mzazi wa msanii wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’ amekuja juu baada ya kuulizwa kuhusu ishu ya binti...

READ MORE

Bob Haisa; Mwana Mpotevu Amerejea!

  “EWE dada nipe mgongo nataka kupanda mieee… Kisha tembea taratibu unipekee kwa mamaaa… Kama wanipe ndaaa nipe mgongooo nipande...

READ MORE