×

Kisa Mil 344, Straika Rasta Rasmi Aitosa Simba

INAELEZWAkuwa uongozi wa Simba ulikuwa kwenye vita nzito ya kuwania saini ya mshambuliaji wa Asante Kotoko ya Ghana, Yacouba Songné,...

READ MORE

Bunge Lapitisha Sheria: Wasambazaji Sukari Kusajiliwa

BUNGE limepitisha muswada wa marekebisho ya sheria ya tasnia ya sukari, kwamba wasambazaji wa bidhaa hiyo ni miongoni mwa watu...

READ MORE

Trump: Natumia Hydroxychloroquin Kujilinda na COVID-19

  RAIS Donald Trump wa Marekani amesema anatumia dawa ya hydroxychloroquine ya kutibu malaria, kujilinda na maambukizi ya virusi vya...

READ MORE

Dilunga Ajifunga Miaka Miwili Simba

SASA rasmi kiungo mshambuliaji wa Simba, Hassani Dilunga, amesaini mkataba wa miaka miwili ya kuendelea kukipiga Msimbazi baada kufi kia...

READ MORE

Ndege za Kimataifa Zaruhusiwa Kuruka, Kutua Tanzania

SERIKALI imefungua anga ya Tanzania, hivyo kuanzia jana Mei 18, 2020 ndege zote za kibiashara, misaada, kidiplomasia, za dharura na...

READ MORE

Video: Msukuma Awavaa Chadema – “Wenye Akili Wameondoka”

KATIKA kipindi cha 255 Front Page, leo Mei 19, wachambuzi wamezungumza kwa njia ya simu na Mbunge wa Geita, Joseph...

READ MORE

Ally Niyonzima: Nina Dawa ya Kagere

KIUNGO mkabaji wa Rayon Sports ya Rwanda, Ally Niyonzima, ametamba kuwa kwake hakuna straika yeyote anayemhofi a akiwemo mshambuliaji tegemeo...

READ MORE

Makamu wa Rais Akutwa na Corona

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini, Riek Machar na mkewe, Angelina Teny, ambaye ni Waziri wa Ulinzi wa...

READ MORE

Huyu Ndiye Mchawi wa Akina Nandy

DAR: “Ni vipi naweza kunogesha furahisha na pendo likolee… Nieleze kitu gani sijafanya au unafanya nahisi nakosea… Ni wapi nitashika...

READ MORE

Kutana na Oladee; Mjuba Anayelia Bila Mpangilio

KATI ya vitu vinavyopewa kipaumbele na Watanzania wengi hususan waliomo mijini, mitandao ya kijamii ni miongoni mwao. Yaani kuna baadhi...

READ MORE

Ndugai Alivyowafanya Wabunge Hawa Kuwa Gumzo!

  SPIKA wa Bunge, Job Ndugai ameeleza kutotambua barua ya Chadema kuhusu ukomo wa ubunge wa aliyekuwa Mbunge wa Ndanda,...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumanne, Mei 19, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo MEI 19, 2020. Ni yale ya Hard-news, Udaku na Michezo....

READ MORE

‘Life’ Dawa ya Maajabu Katika Mwili wa Binadamu

LIFE ni dawa ya kiasili itokanayo na mimea yaani “NATURAL HERBAL ORGANIC FORMULA”. Life ni zawadi tosha kwa uhai wa...

READ MORE

Huu ni Mwezi wa Kusamehewa Dhambi

  SIFA zote njema anastahiki Mola Azzawajalla, mwenye kuneemesha neema kubwakubwa na nyingine ndogondogo. Sala na salamu zimuendee Mtume wetu...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Uwazi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Uwazi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani ya nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= Bonyeza hapa...

READ MORE

Kesi ya Mondi ya Mil. 33 Iko Hivi

  DAR: Mbivu na mbichi juu ya kesi ya uharibifu wa mali inayomkabili staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Mondi’...

READ MORE

Corona Yaja na Mimba Milioni Saba Suniani

  DAR: Wakati janga la maambukizi ya Virusi vya Corona likiendelea kutikisa nchi 212 duniani, idadi kubwa ya wanawake inatarajiwa...

READ MORE

Haaland Apelekwa Madrid

ERLING Haaland yupo tayari kujiunga na Real Madrid. Hiyo ni kwa mujibu wa kocha wa zamani wa Byrne FK, Alf...

READ MORE

Kichanga Chakutwa Kikielea Juu ya Maji

KAGERA: Kichanga cha kiume ambacho kilikuwa hakijafikisha umri wa kuzaliwa, kimekutwa kikielea kwenye maji katika Mto Kanoni uliopo Manispaa ya...

READ MORE

Sun Kika! Aliyepoteza Ndugu 7 Kimaajabu, Amtaja Angel Benard

MWIMBAJI wa nyimbo za Injili wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Sun Kika ameamua kuvunja ukimya na kuanika mazito...

READ MORE