×

Fahamu Madhara ya Kiafya ya Uvutaji wa Shisha, Jua Kabla Hujaanza Kuvuta

Katika jamii ya leo, uvutaji wa shisha umeonekana kuwa ni sehemu ya burudani, hasa miongoni mwa vijana. Wengi huamini kuwa...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Nchemba Aongoza Harambee ya Mei Mosi 2026 – Yachangwa Bilioni 1.105

Waziri Mkuu wa Mwigulu Nchemba ameongoza rasmi harambee ya kuchangia maandalizi ya sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi)...

READ MORE

Papa Amjibu Vikali Trump Baada ya Kauli Zake, Asema Haogopi Vitisho

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Pope Leo XIV, amemjibu vikali Rais wa Marekani Donald Trump kufuatia kauli kali zilizotolewa dhidi...

READ MORE

Marekani Yatoa Onyo Kali Kwa Meli Zitakazokiuka Zuio Dhidi ya Iran Zitakamatwa

Jeshi la Marekani kupitia U.S. Central Command (CENTCOM) limetoa onyo kali kwa meli zote zinazosafiri katika eneo la Ghuba ya...

READ MORE

Polisi Zanzibar Watoa Taarifa Rasmi Kuhusu Kifo cha Mtalii wa Marekani

Polisi Zanzibar wamethibitisha kuwa kifo cha mwanamke raia wa Marekani mwenye umri wa miaka 31, Ashly Robinson maarufu mtandaoni kama...

READ MORE

Rais Samia na Katibu Mkuu wa EAC Wajadili Ushirikiano wa Kikanda Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya...

READ MORE

Sababu Zilizofanya Mazungumzo ya Amani Iran na Marekani Kuyeyuka Islamabad – Video

Mazungumzo ya kihistoria kati ya Marekani na Iran yaliyofanyika mjini Islamabad, Pakistan, yamehitimishwa bila mafanikio, yakiacha taswira ya matumaini yaliyodumu...

READ MORE

Mtoto wa Miaka Miwili Afariki Baada ya Kula Nepi Marekani, Wazazi Wakamatwa

Tukio la kusikitisha limeripotiwa katika Jimbo la Indiana, Marekani, ambapo mtoto wa miaka miwili amefariki dunia kutokana na kile kinachoshukiwa...

READ MORE

Uhasama wa Kihistoria Warudi EPL: Leeds Dhidi ya Man United Leo

Mechi hii inaitwa “War of the Roses” kwa sababu ya uhasama wa karne nyingi kati ya mikoa ya Lancashire (Manchester)...

READ MORE

Ajira Mpya Zatangazwa Ubalozi wa Marekani Dar, Maombi Mwisho Aprili 27

Ubalozi wa Marekani Dar es Salaam unakaribisha waombaji wenye sifa na wanaohitaji kujiendeleza kitaaluma kuwasilisha maombi yao kwa nafasi zifuatazo:...

READ MORE

DCEA Yakamata Kilo 1,983 Za Dawa Za Kulevya, Yabaini Mitandao Mipya

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imesema imefanikiwa kukamata jumla ya kilogramu 1,983.31 za dawa za...

READ MORE

Taharuki ya Mafuta: Meli Zakimbia Hormuz Baada ya Zuio la Marekani Kuanzia leo Jumatatu

Wasiwasi umeongezeka katika masoko ya nishati duniani baada ya meli kadhaa za mafuta kuanza kubadili njia na kuepuka kupita katika...

READ MORE

Esperance Wapigwa Nyumbani, Sundowns Waanza Safari ya Fainali CAFCL

Klabu ya Mamelodi Sundowns imepiga hatua kubwa kuelekea fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa...

READ MORE

Halmashauri ya Shinyanga Yatangaza Nafasi za Kazi 6 kwa Madereva, Maombi Mwisho Aprili 15

Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga inawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi sita (06)...

READ MORE

Burudani Mpya Mtandaoni: Leprechaun Wish Waja na Fursa Nyingi za Ushindi

Kama unatafuta raha ya kweli kwenye ubashiri, basi Meridianbet wamekuja na kitu kipya kinachowasha moto zaidi. Mchezo wa Leprechaun Wish...

READ MORE

Trump Amkosoa Papa Leo XIV Juu ya Vita ya Iran, Asema “Sio Shabiki Wangu”

Rais wa Marekani Donald Trump ameanzisha mjadala mkubwa kimataifa baada ya kumkosoa vikali Pope Leo XIV kufuatia msimamo wake dhidi...

READ MORE

Mkuu wa Masoko Stanbic Tanzania Aingia Kwenye Orodha ya Viongozi Bora wa Masoko Afrika

Tanzania imepata heshima nyingine kubwa katika sekta ya huduma za kifedha baada ya Mkuu wa Idara ya Masoko wa Benki...

READ MORE

Katibu Mkuu Migiro Awasilisha Salaam Za Dkt. Samia Kwa Rais wa Sahrawi

Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, amekutana na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu ya Sahara (SADR),...

READ MORE

Mboga 5 za Mizizi Zinazofanya Macho Yako Kuangalia Vizuri Kila Siku!

Vyakula vyenye antioxidants na vitamini vina mchango mkubwa katika kulinda afya ya macho. Kwa mujibu wa Dkt. Duong Minh Phuc...

READ MORE

Lalji Foundation Yaendesha Kambi Ya Matibabu Ya Macho Bure Kigoma

Taasisi ya Lalji Foundation, kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wakiwemo Kigoma Hilltop Hotel, Ahlulybayt Academic Center, Vision 4 All Eye...

READ MORE