×

Serikali ya Mkoa wa Kilimanjaro Yawapongeza Wadau Kwa Kupanda Miti

SERIKALI mkoani Kilimanjaro imeipongeza kampuni ya mawasiliano ya Yas Tanzania kama wadau wa mazingira kwa kazi kubwa ambayo inafanya kwa...

READ MORE

Mtwara Wanufaika na Kampeni ya Mixx by Yas

Hatimaye kampeni ya Magift inayofanywa na kampuni ya Yas Tanzania, kupitia kitengo cha Mixx by Yas imeweza  kuwazawadia, wateja na...

READ MORE

Aweso Afanya Mabadiliko Mamlaka Ya Maji Moro

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, leo Februari 22, 2025, amefanya mabadiliko ya kiutendaji katika Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa...

READ MORE

Waziri Mkuu Ashuhudia Makabidhiano Ya Zana Za Kilimo

▪️Ni mpango wa Serikali wa kukabidhi zana za kilimo kwenye vituo 45 vya zana nchini._ ▪️Trekta tano na majembe yake...

READ MORE

Polisi : Aliyekamatwa Ni Kishandu

Jeshi la Polisi limetoa taarifa kwa umma kuhusu video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii inayoonesha mwanaume mmoja akikamatwa kwa nguvu....

READ MORE

‘Derby’ ya Mzizima kati ya Simba dhidi ya Azam Kupigwa Jumatatu Kwa Mkapa

Mchezo wa ‘Derby’ ya Mzizima kati ya Simba Sc dhidi ya Azam utakayopigwa Jumatatu Februari 24, 2025 umehamishwa kutoka uwanja...

READ MORE

Rais Samia Atangaza Fahari Ya Kahawa Ya Tanzania Katika Mkutano Wa G25

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza Mkutano wa Tatu wa Nchi Zinazozalisha Kahawa...

READ MORE

Eric Shigongo: Watanzania Tembeeni Vifua Mbele, Nchi Yenu Ni Tajiri – Video

Baada ya kurejea kutoka nchini Marekani ambako alikuwa kwenye ziara ya kikazi, Mbunge wa Buchosa na Mkurugenzi wa Global Group,...

READ MORE

Trump Ampiga Chini Kigogo Wa Jeshi

Rais Donald Trump amemfukuza kazi mwenyekiti wa Wakuu wa Majeshi ya Marekani, Jenerali wa Jeshi la Anga C.Q. Brown, na...

READ MORE

Rwanda: Vikwazo Vya Marekani Kwetu Si Halali

  Serikali ya Rwanda imelaani vikali hatua ya Wizara ya Fedha ya Marekani ya kumwekea vikwazo Waziri wa Utangamano wa...

READ MORE

Meridianbet Yagawa Jezi Za Mpira Wa Miguu Kwa Timu 2

Ikiwa ni Jumamosi ya Februari 22, wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet walizitembelea timu mbili moja kutoka Dar es salaam na...

READ MORE

Waziri Silaa Azindua Kampeni ya ‘Sitapeleki’ Kukabili Utapeli Mtandaoni

  Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa (Mb.) akizungumza katika Mkutano wake na waandishi wa...

READ MORE

Wataalamu Sekta ya Utalii Watakiwa Kuleta Maboresho Katika Sekta hiyo

Watendaji na Maafisa Utalii nchini wametakiwa kufanya kazi kwa uadilifu, kujituma na ubunifu kuhakikisha Sekta ya Utalii inaboreshwa kwa manufaa...

READ MORE

Shinda Milioni 300 na Meridianbet

Leo unaweza kushinda mpaka shilingi milioni 300 kwa kubashiri kupitia Meridianbet kwani kampuni hiyo imeongeza kiwango cha kushinda fedha, Ambapo...

READ MORE

Kinara wa Jumla Katika Tuzo za Tehama Ajirudia

Kampuni ya mtandao wa simu ya Yas Tanzania usiku wa kuamkia leo imeibuka kinara wa jumla katika Tuzo za Tehama...

READ MORE

Naibu Waziri Mkuu Dk. Biteko Azungumza na ALAF Baada ya Kumaliza Mbio za Marathon

Kampuni ya ALAF Limited imeahidi kuendelea kuwawezesha wafanyakazi wa kampuni hiyo kuimarisha afya ya mwili na akili ili kuzidisha ufanisi...

READ MORE

Vatican: Papa Francis Anaendelea Vizuri

Vatican imesema hali ya kiafya ya kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis anayeendelea na matibabu hospitali, inaendelea vizuri. Msemaji...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Maadhimisho Ya Miaka 10 Ya Programu Ya Mwanamke Kiongozi -(Picha+Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia SULUHU hassan Akishiriki Madhimisho ya Miaka 10 ya Programu ya Mwanamke...

READ MORE

Mbunge wa Buchosa Eric Shigongo Kufanya Mkutano Na Waandishi Wa Habari Kesho

Mbunge wa Buchosa na Mkurugenzi wa Global Group, Eric Shigongo anatarajiwa kufanya mkutano na waandishi wa habari kesho Jumamosi, Februari...

READ MORE

Mazoezi ya JWTZ na Jeshi la Marekani (U.S.ARMY) ya Cutlass Express 2025 Yahitimishwa

Mazoezi ya majini ya Cutlass Express, yaliyohusisha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Jeshi la Marekani (U.S.ARMY) yamefungwa leo...

READ MORE