×

Trump: Mgogoro Wa DRC, Rwanda Ni Tatizo Kubwa

    Rais wa Marekani, Donald Trump amesema mgogoro unaoendelea kati ya Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ni...

READ MORE

Makalla: Teknolojia Inayotumika Kujenga Skuli za Zanzibar Ipelekwe Bara

Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu CPA Amos Makalla amesema Zanzibar kunajengwa shule au jina...

READ MORE

Kesi ya Dkt. Slaa, Mahakama ya Kisutu Yasema Imefungwa Mikono Kuendelea Nayo…

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imesema imefungwa mikono kusikiliza kesi ya kusambaza taarifa za uongo inayomkabili aliyekuwa Katibu Mkuu wa...

READ MORE

Rais Samia Alivyowasili Zimbabwe kuhudhuria Mkutano wa SADC

Matukio mbalimbali ya kuwasili kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uwanja wa Ndege...

READ MORE

Coastal Union Yatangaza Nafasi za Kazi Tano Kazi

KATIKA kujenga kikosi bora cha ushindani, uongozi wa Coastal Union umetangaza nafasi za kazi tano.  Muombaji anatakiwa kufikisha maombi yake...

READ MORE

Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi Awasili Ethiopia kwa Ajili ya ziara ya Kikazi

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...

READ MORE

Marekani: Kisanduku Cheusi Ajali Ya Ndege iliyosababisha Vifo 67 Chapatikana

Mamlaka nchini Marekani zimesema zimefanikiwa kukipata kisanduku cheusi cha ndege ya abiria iliyogongana na helikopta ya kijeshi ya Black Hawk...

READ MORE

Mtoto Wa Zuma Atiwa Mbaroni Kwa Tuhuma Za Ugaidi

MTOTO wa Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, Duduzile Zuma-Sambudla, amekamatwa na kufikishwa mahakamani kujibu mashtaka ya ugaidi....

READ MORE

Gumzo Albamu Mpya ya Bruce Melodie

STAA wa muziki nchini Rwanda, Bruce Melodie ameachia albamu yake mpya iitwayo ‘Colorful Generation’ ambayo ni moto wa kuotea mbali...

READ MORE

Stanbic Yatoa Wito wa Uwekezaji Katika Sekta ya Nishati na Ushirikiano wa Kikanda

Kadiri Afrika Mashariki inavyoelekea katika zama mpya za mageuzi ya sekta ya nishati, Tanzania inachukua nafasi muhimu katika kuunda mustakabali...

READ MORE

Circumference Ya Bebe Cool Yazidi Kupasua Anga

MKONGWE katika muziki nchini Uganda, Bebe Cool anazidi kuchanja mbuga na kibao chake ‘Circumference’ alichoachia hivi karibuni. Singo hiyo ambayo...

READ MORE

Kundi la waasi wa M23 Latishia kusonga mbele hadi Kinshasa

Kundi la waasi wa M23 Alhamisi limeapa kusonga mbele kuelekea mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Kinshasa, huku...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Januari 31, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

A-Z Ndoa Ya Barack Obama Na Michelle Kudaiwa Kuvunjika, Mambo Si Shwari – Video

Ni dhahiri kwamba miongoni mwa ndoa za watu mashuhuri zilizokuwa na mashabiki wengi duniani katika miaka ya hivi karibuni, ni...

READ MORE

TRA Yahamishia huduma zake katika jengo la Diamond Plaza

Kufuatia ajali ya moto iliyotokea leo Januari 30, ambayo imeathiri jengo la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) lililopo Kariakoo, mamlaka...

READ MORE

Dkt. Biteko Aongoza Waombolezaji Kuaga Miili Ya Wanafunzi Waliofariki Kwa Radi Geita

Leo Januari 30, 2025 mkoani Geita, maelfu ya waombolezaji wamejitokeza kuaga miili ya wanafunzi saba wa Shule ya Sekondari Businda...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Chakula Cha Mchana Na Walioshiriki Uokoaji Jengo Kariakoo (Picha + Video)

Rais Samia Suluhu Hassan ameshiriki chakula cha mchana na watendaji wa vikosi mbalimbali pamoja na watu walioshiriki katika shughuli ya...

READ MORE

Meridianbet Yapeleka Msaada Zahanati ya Alimaua

Katika kuendelea kuisadia jamii kwenye mahitaji mbalimbali, Meridianbet waliamua kufika katika zahanati ya Alimaua na kutoa msaada wa mashuka ambapo...

READ MORE

Jengo La TRA Kariakoo Lateketea Kwa Moto, Jeshi La Zimamoto Watinga Kuuzima – Video

Moto mkali umezuka leo Januari 30, 2025 katika Jengo la TRA lililopo eneo la Lumumba, Kariakoo – Dar es salaam....

READ MORE

Mobetto na Aziz Ki Waweka hadharani Uhusiano Wao – Picha

KIUNGO mshambuliaji wa klabu ya Yanga SC, Stephanie Aziz Ki, pamoja na mwanamitindo, muigizaji, na msanii wa muziki wa kizazi...

READ MORE