×

Mkurugenzi wa Dar24 Media Maclean Mwaijonga Amepotea

Dar24 Media imetangaza kupotelewa na Mkurugenzi wake Maclean Mwaijonga ambaye mara ya mwisho kuonekana ni wakati akitoka ofisini Datavision International...

READ MORE

Yanga Yatozwa Faini ya Tsh Milioni 12 mchezo wa Derby ya Kariakoo

Klabu ya Yanga imetozwa faini ya Tsh milioni kumi kwa kosa la kupitia mlango usio rasmi kwenye uwanja wa Benjamin...

READ MORE

Mary wa ‘Namba Unayopiga Haipatikani’ – ”Nilipata Hela Nyingi” – Video

Mwanadada Mary Chizi amefunguka kupitia Global TV na kueleza kuwa kwa sasa sauti yake ni maarufu zaidi ya yeye binafsi....

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Novemba 2, 2024

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Serikali Yapongeza Mafanikio ya Kitaaluma Shule ya Msingi Hazina

SERIKALI imeipongeza Shule ya Msingi Hazina ya Magomeni jijini Dar es Salaam kutokana na mafanikio ya kitaaluma na mchango wake...

READ MORE

Mnada wa Nne wa Korosho Lindi Mwambao Wafanyika

KIASI cha tani 6502 na kilo 73 za korosho ghafi zimeuzwa kwa bei ya juu Sh.3340 na bei ya chini,...

READ MORE

Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Awapongeza Wadhamini wa Zanzibar International Marathon

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla ameipongeza kampuni ya Mawasiliano ya TigoZantel pamoja na wadau wengine...

READ MORE

Kamati ya Bunge Yaunga Mkono Mtambo Mpya ALAF

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeridhishwa na kasi ya ujenzi wa mtambo mpya wa...

READ MORE

Balozi Nchimbi Ashiriki Zoezi la Kuaga Mwili wa Jenerali David Musuguri

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akishiriki matukio mbalimbali wakati wa ratiba ya kutoa...

READ MORE

Aucho Kukosekana katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam

KIUNGO wa Yanga, Khalid Aucho chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miguel Gamondi atakosekana katika mchezo wa Ligi Kuu Bara...

READ MORE

Nyota wa “The Hitman’s Bodyguard”, mkewe Wamaliza “Royal Tour” Tanzania

Mmoja wa nyota walioshiriki katika filamu maarufu Hollywood ya “The Hitman’s Bodyguard” Ori Preffer (Vacklin) na mkewe ambaye pia ni...

READ MORE

Mwezi Mpya Umekuja na Ushindi Meridianbet

Ijumaa ya leo itakuwa murua sana endapo utaamua kuisindikiza kwa kubashiri na wababe wa ubashiri Tanzania Meridianbet. ODDS KUBWA na...

READ MORE

Washindi wa Shindano la Startupper of The Year Watangazwa

TotalEnergies Tanzania inayo furaha kutangaza washindi watatu wa Shindano la ‘Startupper of the Year’ kwa mwaka 2024. Shindano hili, lililowazi...

READ MORE

Mkasa Wa Kweli: Miaka 10 Ndani Ya Ndoa, Shoga’ake Akampeleka Kwa Mganga – Video

Mwanadada Rosemary amefunguka kupitia kipindi cha Kontena ya Global TV na kueleza kuwa mojawapo ya sababu zilizopelekea kuvunjika kwa ndoa...

READ MORE

CHAMA tawala Botswana Kimeshindwa katika Uchaguzi wa Wabunge

CHAMA tawala cha Botswana, Botswana Democratic Party (BDP) kimeshindwa katika uchaguzi baada ya kuliongoza taifa hilo kwa takriban miaka 58,...

READ MORE

Rich Panda Inakupa Mamilioni Leo

Leo Ijumaa unaweza kunyakua mkwanja na kufanikiwa kuianza wikiendi yako kibabe kabisa pale tu utakacheza mchezo wa Kasino wa Rich...

READ MORE

Prof. Kithure Kindiki Aapishwa Kuwa Naibu Rais Mpya Wa Kenya – Video

ALIYEKUWA Waziri wa Usalama wa ndani nchini Kenya, Profesa Kithure Kindiki leo Novemba 1, 2024 ameapishwa rasmi kuwa naibu rais...

READ MORE

Kithure Kindiki kuapishwa kuwa Naibu Rais wa Kenya leo

Mahakama kuu nchini Kenya imeondoa amri iliyokuwa imewekwa kuzuia kuapishwa kwa Prof Kithure Kindiki kama naibu rais wa Kenya. Kithure...

READ MORE

Nafasi Za Kazi 25 TBC, Mwisho wa Kutuma Maombi Novemba 4, 2024

Kwa niaba ya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Ajira katika Utumishi wa Umma Sekretarieti inawaalika Watanzania mahiri, makini, wenye uzoefu...

READ MORE

Kwa Mara Ya Kwanza Tuzo za Trace 2025 Kufanyika Zanzibar – Video

Tuzo za Trace Music Awards zinatarajiwa kufanyika Visiwani Zanzibar, Akizungumza na waandishi wa habari visiwani Zanzibar leo, mmoja kati ya...

READ MORE