×

Yanga Yachanja Mbuga Ligi Kuu Licha ya Kutolewa CAF

Je unajua kuwa ni rahisi sana kwako wewe kusuka jamvi na Meridianbet endapo Mechi za Yanga zitakuwa zinachezwa?. ODDS KUBWA...

READ MORE

Prof. Kitila Awasilisha Mapendekezo ya Serikali ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2026/27

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Kitila Alexander Mkumbo amewasilisha Mapendekezo ya Serikali ya Mpango wa Maendeleo...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Afrika

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, amekutana na Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja...

READ MORE

Wema Sepetu Amzawadia Whozu Ujumbe Mtamu wa Mapenzi

Mrembo na msanii wa filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu, amemuonyesha wazi mapenzi yake kwa mpenzi wake, Whozu, kupitia ujumbe wa...

READ MORE

Mojtaba Khamenei Yuko Salama Licha ya Ripoti za Kuumia Wakati wa Vita

Kiongozi Mpya Mkuu wa Iran, Mojtaba Khamenei, ameripotiwa kuwa salama na mwenye afya njema, licha ya taarifa zilizoibuka zikidai kuwa...

READ MORE

Trump Aamuru Iran Iondoe Mabomu Hormuz, Marekani Yashambulia Boti 16

Jeshi la Marekani limefanya mashambulizi ya anga dhidi ya boti za kijeshi za Iran zilizokuwa zikidaiwa kuweka mabomu ya majini...

READ MORE

Rostam Aziz Anunua Hisa za Nation Media Group kutoka AKFED

Aga Khan Fund for Economic Development imetangaza kufikia makubaliano ya kuuza hisa zake zote katika Nation Media Group kwa mfanyabiashara...

READ MORE

Ssebo wa EFM Afariki Dunia Akipatiwa Matibabu Muhimbili

Mkurugenzi wa Uzalishaji na Biashara wa Kituo cha Redio cha EFM na TVE, Denis Busulwa almaarufu Ssebo, amefariki dunia usiku...

READ MORE

Shilingi 500 Leo, Bilioni 2 Kesho Ukicheza Diamond Jackpot ya Meridianbet

Diamond Jackpot ya Meridianbet inawapa Watanzania jukwaa la kuota ndoto kubwa na kuzitimiza. Una 500 mfukoni, basi chenji hiyo inaweza...

READ MORE

Rais wa Shirikisho la Soka Kongo Afungwa Jela Maisha kwa Kashfa ya Fedha

Mahakama nchini Kongo Brazzaville imemkuta na hatia Rais wa Shirikisho la Soka la nchi hiyo, Jean-Guy Blaise Mayolas, kwa makosa...

READ MORE

Wanawake wa Kilombero Sugar Wakutana Kusherehekea Siku ya Wanawake 2026

Wafanyakazi wanawake kutoka Kampuni ya Sukari Kilombero walikusanyika kusherehekea Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2026 chini ya kauli mbiu “Give...

READ MORE

Hizi Hapa Sababu 7 Zinazofanya Mazda Verisa Kuwa Bora Zaidi ya IST

Katika miaka ya karibuni, Mazda Verisa imekuwa moja ya magari yanayouzwa kwa kasi kwenye soko la magari yaliyotumika nchini Tanzania....

READ MORE

Waziri wa Fedha Zanzibar Aipongeza NCBA kwa Uwekezaji wa Kijamii

Jua lilipokuwa linazama Zanzibar na wito wa sala ukashangaza kugawa saa ya kufungua njaa, viongozi wa biashara, wajasiriamali, na wadau...

READ MORE

Kamati Ya Bunge Yapokea Wasilisho La Miradi Ya Wizara Ya Habari

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imepokea taarifa ya miradi mbalimbali inayotekelezwa na Wizara ya Habari,...

READ MORE

Mzee Bichuka Apokea Shilingi Milioni 10 Kutoka kwa Rais Samia Kupitia Naibu Waziri

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma, amemtembelea na kumjulia hali mwanamuziki nguli Mzee Hassan Rehani Bichuka...

READ MORE

Mo Dewji Atangazwa na Forbes Kuwa Tajiri Namba Moja Afrika Mashariki na Kati

Orodha ya mabilionea duniani iliyotolewa na Forbes imeonyesha kuwa utajiri wa mabilionea barani Afrika unaendelea kuongezeka kwa kasi. Kwa sasa,...

READ MORE

Kanali Randrianirina Avunja Serikali Nzima Madagascar, Waziri Mkuu Aondolewa

Kiongozi wa kijeshi wa Madagascar, Kanali Michael Randrianirina, amevunja serikali nzima kwa kumfuta kazi Waziri Mkuu pamoja na mawaziri wote...

READ MORE

Marekani Yatangaza Mafanikio Mapya Dhidi ya Iran, Yadai Kuangamiza Meli 50 – Video

Jeshi la Marekani limesema limepiga hatua kubwa katika kudhoofisha uwezo wa kijeshi wa Iran tangu kuanza kwa operesheni za kijeshi...

READ MORE

Kiongozi wa Usalama Iran Amjibu Trump ‘Awe Makini Asije Akaondolewa’

Mvutano kati ya Iran na Marekani umeongezeka baada ya viongozi wa Iran kutoa onyo kali kwa Rais wa Marekani, Donald...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Aagiza Takukuru Kuchunguza Ujenzi Wa Hospitali Ya Wilaya Ya Kalambo

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kufanya uchunguzi wa kina kuhusu makadirio...

READ MORE