×

Simba Yashusha Beki wa Kati Abdulrazack Mohamed Hamza raia wa Tanzania

Klabu ya Simba imemtambulisha beki wa kati, Abdulrazack Mohamed Hamza (23) raia wa Tanzania, akitokea klabu ya Supersport United ya...

READ MORE

Aweso Amkaanga Meneja DAWASA Kigamboni “Kwa Nini Wananchi wanakosa Maji? Tukutane Ofisini Kwangu”

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso leo tar. 04 Julai 2024 amefika Wilaya ya Kigamboni mkoani Dar Es Salaam kutembelea...

READ MORE

Uzinduzi wa msimu wa pili wa mashindano ya gofu ya NCBA yaongozana na upandaji miti Arusha

Arusha, Tanzania — Juni 29, 2024, Benki ya NCBA Tanzania imezindua rasmi msimu wa pili wa mashindano ya gofu ya...

READ MORE

Yanga Yathibitisha kuachana na kiungo mshambuliaji Augustine Okrah

Klabu ya Yanga imethibitisha kuachana na kiungo mshambuliaji Augustine Okrah hivyo hatakuwa sehemu ya kikosi chao msimu ujao 2024-2025. Okrah...

READ MORE

JWTZ Kufanya Maadhimisho ya Miaka 60 Tangu Kuanzishwa Kwake

Jeshi la Wananchi Tanzania( JWTZ) linatarajiwa kufanya maadhimisho ya miaka 60 tangu kuasisiwa kwake Septemba 1, 1964 na Hayati Mwalimu...

READ MORE

Uingereza Kufanyika Uchaguzi Mkuu Leo, Chama cha Labour Wapewa nafasi

UCHAGUZI Mkuu nchini Uingereza unafanyika leo huku mtazamo ukionyesha Chama cha Labour kupewa nafasi kubwa ya ushindi. Kura za maoni...

READ MORE

Biden aapa kuendelea na kampeni licha ya shinikizo la kumtaka kujiondoa kwenye kinyang’anyiro

Rais wa Marekani Joe Biden Jumatano ameapa kuendelea kuwania muhula wa pili, akipuuza hisia zinazozidi kuongezeka kwamba kushindwa kufanya vizuri...

READ MORE

Bodaboda Asimulia Alivyotaka Kuuawa Na Vibaka Porini – Video

Kijana Hassan Michael mkazi wa Nungwi visiwani Unguja, ambaye ana kipaji cha kuwaigizia wanyama mbaliumbali wanavyotembea ikiwemo sokwe, amesema licha...

READ MORE

Mshomba Afichua Siri Mafanikio ya NSSF

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bw. Masha Mshomba amefichua siri ya mafanikio makubwa ambayo...

READ MORE

NMB Yaipiga Tafu Shule Mbili Za Sekondari Dar , Yakabidhi Meza Na Viti

Benki ya NMB imekabidhi meza 90 na viti 90 venye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 10 kwa mbili mkoani...

READ MORE

Tigo na ZTE Wazindua Simu Mahiri ya ZTE A34 Katika Maonyesho ya Saba Saba

Dar es Salaam, 4 Julai, 2024: Kampuni inayoongoza kwa mtindo wa maisha ya kidijitali nchini Tanzania, Tigo, inafuraha kutangaza uzinduzi...

READ MORE

Kujituma kwenu kutajenga DAWASA iliyo bora- Aweso

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso leo tar. 04 Julai 2024 amefika Wilaya ya Kigamboni mkoani Dar Es Salaam kutembelea...

READ MORE

Benki Ya TCB na Metro Life Waja na Ada Bima Pamoja na Kikoba Cha Kidijitali

Benki ya TCB kwa kushirikiana na Metro Life wamekuja na mpango maalum wa Ada Bima ambao utakuwa  mkombozi kwa mwanafunzi...

READ MORE

Meridianbet Kasino, Ushindi Kiganjani Mwako na Sloti

Unaijua Kasino? Kuna mchezo unaitwa Super Heli na Aviator inafanya poa sana, lakini nikwambie tu Meridianbet Kasino ya Mtandaoni kuna...

READ MORE

NIRC Yahimiza Wahandisi Kusajiliwa, Waendane Na Kasi Ya Uwekezaji Wa Rais Dk.Samia – Video

 TUME ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imesema kutokana na uwekezaji mkubwa alioufanya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan katika miradi ya umwagiliaji...

READ MORE

Breaking: Kocha Rhulani Mokwena apewa ‘Thank You’ na Mamelodi Sundowns

Klabu ya Mamelodi Sundowns ya nchini Afrika Kusini imetoa taarifa rasmi kuhusu mustakabali wa kocha Rulani Mokwena. Mokwena anaondoka katika...

READ MORE

Eng. Mkama Bwire Ateuliwa Kuwa Mtendaji Mkuu Mpya DAWASA

Mhandisi Mkama Bwire ameteuliwa kushika nafasi ya Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar...

READ MORE

Ufunguzi Wa Maonesho Ya 48 Ya Bishara Ya Kimataifa Ya Dar (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mhe. Filipe...

READ MORE

Waziri Jerry Silaa Aingilia kati mgogoro kati ya wakulima na wafugaji Chalinze – Video

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa ameingilia kati mgogoro kati ya wakulima na wafugaji katika Kijiji...

READ MORE

Chama Awaaga Rasmi Simba Kupitia Ukurasa Wake wa Instagram

Kiungo mshambuliaji mpya wa Yanga, Mwamba wa Lusaka Clatous Chota Chama kawaaga rasmi Simba, kupitia ukurasa wake wa kijamii wa...

READ MORE