×

Jisajili BURE kushiriki Mbio na Matembezi ya Shukrani kwa Mlipakodi

Mbio za Shukrani kwa Mlipakodi yanayoandaliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) yatafanyika Novemba 18, 2023 yakianzia kwenye Viwanja vya...

READ MORE

Nafasi za kazi 7 Job Junction Tanzania, Help Desk Parson

EMPLOYER:Job Junction Tanzania, LOCATION:Dar Es Salaam Minimum Education level :Diploma Junction TanzaniaJOB DESCRIPTION * Provides technical support to users by...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumanne, Novemba 14, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Nov 14, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

Mwanamke Mwenye Muonekano Wa Kiume, Afunguka Magumu Anayopitia- Video

Loveness Tarimo ni mwanamke mtunisha misuli anayeshikilia nafasi ya Miss Fitness Tanzania na Miss Fitness East Afrika. Global TV imefanya...

READ MORE

Rais Samia Afanya uteuzi Bodi ya Wakurugenzi wa TCRA

Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa mwenyekiti na makamu mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania,...

READ MORE

Wawezeshaji Wa Kitaifa wa Mafunzo ya Mtaala Mpya Wapaswa Kuzingatia Mafunzo kwa Umakini

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Tecknolojia, Dk Franklin Rwezimula amewataka wawezeshaji  kitaifa  wa mtaala wa Elimu ya...

READ MORE

Halotel Yashinda Tuzo za Chaguo la Mteja Afrika 2023 kwa Mwaka wa Nne Mfululizo

Halotel, Kampuni ya Mawasiliano nchini Tanzania yenye mtandao ulioenea nchini, kwa heshima kubwa imetunukiwa tuzo ya “Mtandao Bora unaotoa Huduma...

READ MORE

Benki ya Mwanga Hakika Yaja na “PINK Mwanamke Account” Kuwawezesha Wanawake Kifedha

*Wateja kupata uhakika wa kuweka akiba na kufurahia faida kwenye amana zao Benki ya Mwanga Hakika Limited imekuja na huduma...

READ MORE

GGML yaibuka kampuni inayoaminika zaidi katika tuzo za mlaji

  NA MWANDISHI WETU GEITA Gold Mining Limited (GGML) imeibuka kuwa kampuni inayoaminika zaidi kwenye sekta ya madini katika tuzo...

READ MORE

Umoja Wa India Na Tanzania Waandaa Mbio Za Riadha

UMOJA wa nchi za India na Tanzania wameandaa mbio za riadha zitakazofanyika Desemba 30 na 31 jijini Dar es Salaam....

READ MORE

Ni Kidijital Zaidi, Tigo Wazindua Huduma Ya E-sim

Dar es Salaam Novemba 14 2023 Kampuni inayoongoza katika kuhakikisha Watanzania wanafurahia maisha ya kidijitali, Tigo Tanzania, inajivunia kutangaza mafanikio...

READ MORE

Wananchi Waridhishwa Na Utekelezaji Wa Miradi Simiyu, Mabilioni Ya Fedha Yatolewa Na Rais Samia (Picha +Video)

Wananchi wa Mkoa wa Simiyu Wilaya ya Busega wameoneshwa kuridhishwa na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kimaendeleo inayotekelezw na Serikali...

READ MORE

Biteko Ahudhuria Uzinduzi wa Kituo cha Kujaza Gesi Asilia Kwenye Magari

Waziri Doto Biteko amehudhuria uzinduzi wa kituo cha kwanza cha kujaza gesi asilia na kubadili mfumo wa magari kutumia gesi...

READ MORE

Kwa Buku Tu Unapata TV Flat Screen Inchi 55 Mpya Kutoka Meridianbet

Funga mwaka kibingwa na Meridianbet nyumba ya mabingwa wa odds kubwa na machaguo mengi lukuki. Zikiwa zimebaki siku chache mwaka...

READ MORE

Waziri wa Mambo ya Ndani Atimuliwa Kazi Kisa Maandamano ya Kuwatetea Waisrael

Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak amemfuta kazi Waziri wa Mambo ya Ndani Suella Braverman, ambaye aliibua hasira kwa kuwashutumu...

READ MORE

Rafiki Zangu Walioniibia Gari Walivyokutana na Mambo Mazito Mpaka Wakalirudisha

Imepita miaka sita tangu gari langu aina ya Toyota Hilux  lipotea, nilijaribu juu chini kulitafuta lakini wapi, halikupatikana, nakumbuka vizuri...

READ MORE

Wanajeshi Watano wa Marekani Wafariki Dunia Baada ya Helikopta Kuanguka

Wanajeshi watano wa Jeshi la Marekani, wamefariki dunia baada ya helikopta waliyokuwa wakiitumia kwenye mafunzo ya kijeshi, kuanguka Mashariki mwa...

READ MORE

Vodacom Yashirikiana na Mdundo Katika Kampeni ya Sambaza Shangwe, Gusa Maisha

Vodacom kwa kushirikiana na Mdundo wanakuletea kampeni ya Sambaza Shangwe, Gusa Maisha ambapo zawadi kibao zitashindaniwa katika msimu huu wa...

READ MORE

Papa Atoa wito wa Kulindwa kwa raia na kuachiliwa kwa mateka Gaza

Papa Francis ametoa wito kwa waliojeruhiwa huko Gaza kuhudumiwa mara moja na misaada zaidi ya kibinadamu iruhusiwe kuingia katika eneo...

READ MORE

Netanyahu apinga Palestina kuongozwa na chama cha Mahmoud Abbas baada ya vita vya Gaza

Wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari jana usiku, Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alisema jambo ambalo litakuwa...

READ MORE