×

Steve Nyerere Atema Nyongo Sakata La Bandari Kuuzwa – Video

Msanii na Mchekeshaji Steve Nyerere amewavaa wanaodai kuwa mkataba wa Bandari siyo rafiki kwa watanzania. Steve amewataka watanazania kuitumia fursa...

READ MORE

Mastaa Simba Waitwa Fasta Kambini Kufanyiwa Vipimo Leo

HABARI kutoka ndani ya Simba, zinasema kuwa, mabosi wa timu hiyo wameamua kuwaita wachezaji wote ili kufanyiwa vipimo vya afya...

READ MORE

RC Chalamila Amuapisha DC Mpya Temeke Mobhare Holmes Matinyi

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila leo Julai 4, 2023 amemuapisha Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Mobhare...

READ MORE

Yanga Yaitwa Tena Ikulu, Kambini Julai 10, Kuondoka na Ndege Maalum

KLABU ya Yanga imealikwa na Rais wa Malawi, Lazarus Chakwera kuhudhuria sherehe za maadhimisho ya Uhuru wa Taifa hilo zitakazofanyika...

READ MORE

Mfalme wa Zulu Akanusha Madai ya Kupewa Sumu, Asema Afya Yake iko Shwari

Mfalme wa Zulu, mkuu wa ufalme wa kitamaduni wenye ushawishi mkubwa zaidi nchini Afrika Kusini, Misuzulu Kazwelithini alisema Jumatatu “alikuwa...

READ MORE

Manufaa 12 Ambayo Tanzania Itayapata Kutokana na Uwekezaji wa DP World katika Bandari

Zifuatazo ni faida 12 kubwa ambazo Tanzania inatarajia kuzipata kutoka na uwekezaji wa kampuni ya DP World kwenye bandari ya...

READ MORE

Balozi wa Ethiopia atua Mwanza, lengo ni kuwekeza

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Amos Makalla amesema ujio wa Balozi wa Ethiopia hapa nchini Shibru Mamo utazidi kuimarisha mahusiano...

READ MORE

Ijue Mbinu Madhubuti ya Kuwadhibiti Wezi Katika Biashara Yako kwa Urahisi

  Kazi yangu ni biashara ya kuuza nafaka mbalimbali hapa mtaa wa Buza, nimeifanya hii kazi kwa miaka sita ambayo...

READ MORE

Wanafunzi Wa VETA Dodoma Wabuni Mtambo Wa Kufua Umeme Wa Maji

Dar es Salaam 3 Julai 2023: Kutoka katika Viwanja vya Mwalimu Juliaus Kambarage Nyerere (Sabasaba) jijini katika maonyesho ya 47...

READ MORE

#Exclusive Video: Mboto; “Mimi Sina Stress, Watoto Wangu Hawasumbui, Badi Alimpiga Mwanae Vichwa 78”…

Mchekeshaji na mwigizaji mahiri Bongo, Mboto anasema tangu alipoanza kuigiza kwenye tamthilia ya Huba, amebadilika vitu vingi kuanzia kwenye sanaa...

READ MORE

Video: Mtoto Akatwa Mguu Baba Aililia Hospitali – “Walishindwa Kutupa Msaada Wa Ambulace, Shida Mil2”

Simulizi ya mtoto huyu, aliyekatwa mguu baada ya kutokea makosa ya madaktari alipoenda kutibiwa, inahuzunisha. Global TV imezungumza na baba...

READ MORE

Polisi wawasaka Washukiwa Baada ya 2 kuuawa, 28 Kujeruhiwa katika Shambulizi la Bunduki mjini Baltimore, Maryland

Maafisa wa Baltimore, jimbo la Maryland, Marekani, wanaendelea kuwatafuta washukiwa wa shambulizi lililotokea mapema Jumapili, wakati wa sherehe zilizofanyika katika...

READ MORE

Uteuzi Wa Wakuu Wa Wilaya Ya Temeke Na Kilindi Watenguliwa

Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Mwanahamisi Athumani Munkunda na kumteua Mobhare Holmes Matinyi...

READ MORE

Morocco Anukia Geita Gold FC

Siku chache baada ya klabu ya soka ya Geita Gold ya mkoani Geita  kutangaza kuachana na aliyekuwa kocha wake mkuu...

READ MORE

Ligi ya Ilemela kuchezeshwa kama UEFA

Ligi ya taifa ngazi ya wilaya ya Imelela jijini Mwanza imefika hatua ya nusu fainali ambapo hatua hiyo inatarajia kuendelea...

READ MORE

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mh . Albert Chalamila awa Mgeni rasmi katika bonanza ya TRA na wafanyabiashara wa Kariakoo kwa lengo la kujenga mahusiano mema ns ushirikiano wa karibu

Viongozi na wafanyakazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) jijini Dar es Salaam na wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo, leo...

READ MORE

Muargentina Aachiwa Msala Wa Kaze Yanga

KOCHA Msaidizi wa Yanga Mrundi, Cedric Kaze huenda asiwe katika sehemu ya benchi la ufundi la timu hiyo, kutokana na...

READ MORE

Mcameroon Che Malone Apewa Mkataba Simba Ahmed Ally Afunguka

UHAKIKA sasa beki wa kati wa Cotton Sports ya nchini Cameroon, Che Malone anakuja kuiboresha safu ya ulinzi ya Simba...

READ MORE

Rais Agomea Nyongeza Ya Mshahara Wake, “Walimu, Polisi Wanastahili”

RAIS wa Kenya, William Ruto amegomea pendekezo la Tume ya mishara ya nchi hiyo (SRC) la nyongeza ya mshahara kutoka...

READ MORE