×

Breaking: Ajali Yaua Wawili na Kujeruhi Watatu Mlima Iwambi nje Kidogo ya Jiji la Mbeya

Watu wawili wamerafiki dunia na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari manne likiwemo basi la abiria la Kampuni ya...

READ MORE

Simba Queens Kuweka Rekodi Nyingine Afrika, Kucheza na Mamelodi leo

SIMBA Queens wanatarajia kushuka dimbani leo Jumatano kucheza mechi ya nusu fainali na mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Afrika...

READ MORE

Sakata la Mpole na Geita Gold FC Lachukua Sura Mpya, Kivuyo Atoa Neno

AFISA Habari wa klabu ya Geita Gold Hemed Kivuyo ameibuka na kutoa ufafanuzi juu ya kile kinachoendelea kuhusu Sakata la...

READ MORE

Wenye Magari Mabovu Vijijini Kukamatwa, Muda Watolewa Kufanya Matengenezo

MKUU wa kikosi cha usalama Barabarani Mkoa wa Arusha Mrakibu wa Polisi SP Solomon Mwangamilo amewataka madereva wanaofanya safari katika...

READ MORE

Simba Wawaka… Chama Ametibua Hesabu za Mgunda Dhidi ya Singida leo

  UNAAMBIWA kumbe baada ya Bodi ya Ligi Kuu Bara kumpiga rungu la kumstopisha kucheza mechi tatu kiungo wa Simba...

READ MORE

Nyota wa Senegal Yupo kwenye Hatihati Kukosekana Kombe la Dunia

NYOTA wa Timu ya Taifa ya Senegal na klabu ya Bayern Munich ya nchini Ujerumani Sadio Mane yupo katika hatihati...

READ MORE

Ajali ya Ndege Ziwa Victoria: Ufaransa Yatuma Maafisa Kuchunguza Chanzo cha Ajali

  Serikali ya Ufaransa kupitia ubalozi wake jijini Dar Es Salaam imetangaza kutuma kikosi cha maafisa na wataalamu wa uchunguzi...

READ MORE

Fei Toto: Mashabiki Yanga Tuombeeni, Tunawapiga Club Africain Kwao

UNAAMBIWA ugumu wa mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika, kati ya Yanga na Club Africain ya Tunisia, umemfanya...

READ MORE

Matokeo ya Uchaguzi Marekani Yaendelea Kutangazwa Ushindani ni Mkali – Live Video

Wamarekani wanaendelea kupokea na wengine kusubiri matokeo ya uchaguzi wa katikati ya muhula uliofanyika Jumanne. Wapigaji kura uliendelea kwa utulilivu...

READ MORE

Nabii Aliyetabiri Ajali ya Ndege Iliyoua Watu 19 Bukoba, Adai Alioneshwa Kiroho.. -Video

Taifa la Tanzania linaomboleza vifo vya watu 19 huku wengine 24 wakiokolewa hai kufuatia ajali mbaya ya ndege ya Shirika...

READ MORE

Marubani wa Kenya Airways Wasitisha Mgomo, Mahakama ya Ajira Yatoa Tamko

Chama cha Marubani wa Ndege nchini Kenya, KALPA, kimefuta notisi yao ya mgomo kufuatia uamuzi wa awali Jumanne wa mahakama...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi kirahisi zaidi hapa

Pata nakala yako ya Gazeti la Championi leo Nov-9, Kwa nusu bei tu \   Gazeti la Championiwww.globalapp.co.tz AU Championihttps://bit.ly/3M4GO0G...

READ MORE

Nafasi ya Kazi The Nature Conservancy (TNC), Financial Specialist Payables

Job ID 52469 Location Africa Full/Part Time Full-Time Regular/Temporary Regular OFFICE LOCATION Any  TNC Africa office in Tanzania, Zambia ,  Kenya,...

READ MORE

Mshambuliaji wa Yanga Aziz Ki Aahidi Kuwaua Waarabu kesho nchini Tunisia

  KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Mburkinabe, Stephane Aziz Ki, amewaondoa hofu mashabiki wa timu hiyo kwa kuwaambia ni lazima washinde...

READ MORE

Watengenezaji wa Ndege Iliyopata Ajali Ziwa Victoria Kutua Leo Nchini

Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa amesema timu ya wataalamu kutoka kampuni ya ATR-42 ambayo ndiyo watengenezaji wa ndege hiyo, wanatarajiwa...

READ MORE

Rais wa Zanzibar Afungua Mkutano  wa Pan African Humanitarian & Investment

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi leo Novemba 8, 2022 amefungua Mkutano  wa “7th ...

READ MORE

Wapinzani wa Club African Wavujisha Siri Yanga Kufuzu Kombe la Shirikisho Afrika

KOCHA Mkuu wa Kipanga FC, Hassani Kitimbe amewaondoa hofu Yanga kwa kuwaambia wana nafasi ya kufuzu makundi ya Kombe la...

READ MORE

RPC Manyara Ataja Majina ya Waliofariki na Majeruhi Ajali ya Kiteto

Watu saba ambao ni watumishi wa serikali ya wilaya ya kiteto Mkoani Manyara Idara ya afya na elimu wamefariki kwa...

READ MORE

Majaliwa Apokewa Jeshini, Kuanza Mafunzo Chuoni Wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga

Kijana Majaliwa Jackson Samweli ambaye alionesha ushujaa mkubwa wa kuokoa abiria katika ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea Bukoba,...

READ MORE

Aziz Ki na Clatous Chama Wamefungiwa Michezo Mitatu na Wapigwa Faini na Bodi ya Ligi

Nyota wa timu ya Young Africans SC, Stephan Aziz Ki na Clatous Chama wa Simba SC wamefungiwa michezo mitatu (3)...

READ MORE