Queen Elizabeth Miss Tanzania Mpya (Picha + Video)
MREMBO Queen Elizabeth ndiye mshindi wa taji la Miss Tanzania 2018 baada ya mchuano mkali uliofanyika usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam.
Mshindi huyo kutoka Kinondoni, Dar, alifuatiwa na Nelly Kazikazi, ambapo mshindi wa watu ni Sandra Giovinazzo.
PICHA: RICHARD BUKOS | GPL
Comments are closed.