BOFYA HAPA KUSHUHUDIA LIVE NDOA YA Prince Harry na Meghan
HATIMAYE shughuli ya ndoa ya kifahari ya mjukuu wa Malkia wa Uingereza, Henry Charles Albert David ‘Prince Harry’ na mwigizaji maarufu wa Marekani, Meghan Markle imeanza katika Kasri la St George, Windsor, jijini London huku maelfu ya watu wakiwa wamefurika kushuhudia tukio hilo.
Comments are closed.