SIMBA YAPANGWA NA AL-AHLY, MAKUNDI YAPO HAPA
LEO Ijumaa droo ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika imepangwa katika Mji wa Cairo nchini Misri. Simba kutoka Tanzania, ni miongoni mwa timu ambayo imepangwa kundi D.
Simba imepangwa Kundi D lenye timu za Al Ahly ya Misri, JS Soura ya Algeria anayoichezea Thomas Ulimwengu na AS Vita ya DR Congo.
KUNDI A
Waydad
Sundowns
Asec Mimosa
Lobi Star
KUNDI B
Esperance
Horoya
Orlando Pirates
FC Platnums
KUNDI C
TP Mazembe
Ismaily
Constantine
Club African
KUNDI D
Al Ahly
Simba
JS Soura
AS Vita JITATHMIN
Comments are closed.