WATU watatu wanasadikiwa kupoteza maisha na wengine 30 kujeruhiwa katika ajali ya basi dogo lililokuwa limebeba mafundi wa mradi wa...
READ MOREGari la abiria lenye namba za usajili T930 DML aina ya Toyota Coaster lililobeba wanafunzi wa sekondari limegonga Treni eneo...
READ MORENdege ya Kampuni ya Ethiopia aina ya Boeing 737 iliyokuwa ikisafiri kutoka Adis Ababa kuelekea Nairobi imeanguka leo ilikuwa imebeba...
READ MOREWatu watano wamefariki dunia baada ya petroli iliyokuwa ndani ya nyumba waliyokuwemo kulipuka mkoani Kilimanjaro. Licha ya waliopoteza maisha, wengine...
READ MOREBASI la Kampuni ya BM Coach limepata ajali ya kupinduka jana Jumatatu, Machi 4, 2019 majira ya alasiri wakati likijaribu...
READ MORECAPTAIN Mario Magonga, aliyekuwa rubani wa Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, amefariki katika ajali baada ya ndege aina...
READ MOREMKUU wa Wilaya ya Newala, Aziza Mangosongo na watu wengine watatu wamenusurika kifo baada ya gari walilokuwa wamepanda kupata ajali...
READ MORENAIBU Waziri wa Ardhi, Angelina Mabula, amewaongoza mamia ya wananchi katika zoezi la kuaga miili ya wataalam tisa wa wizara...
READ MORE#BRAKINGNEWS: Watu tisa ambao ni wataalam wa Idara ya Ardhi wamefariki dunia baada ya gari aina ya Land Cruiser walilokuwa...
READ MORERais Dk. John Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa familia zilizopoteza jamaa zao katika ajali ya barabarani iliyotokea katika Wilaya ya...
READ MOREWATU 19 wameripotiwa kupoteza maisha katika ajali ya lori lililokuwa na mzigo, lenye namba T 388 CAA baada ya gari...
READ MOREMKAZI wa kijiji cha Kilongo, Muheza mkoani Tanga, Saidi Sekizenge (72), amefariki dunia kwa kuteketea kwa moto akiwa shambani kwake....
READ MORETaarifa zilizothibitishwa na Jeshi la Polisi zimeeleza kuwa, Mbunge wa Iramba Magharibi (CCM), Dkt. Dk Mwigulu Lameck Nchemba amepata ajali...
READ MORETaarifa ya ajali hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa CHADEMA, Tumaini Makene akisema kuwa Mbunge huyo anatarajiwa...
READ MOREWANANCHI wenye hasira kali wanadaiwa kuvamia katika eneo la Kanyogoga Wilaya ya Gulu nchini Uganda na kuchoma Kanisa moja muda...
READ MOREAjali ya Moto imetekeza nyumba iliyopo Magomeni Kagera mtaa wa Texas Jijini Dar es salaam Mchana wa leo. Chanzo cha...
READ MOREWATU wanne wamefariki dunia na wengine 42 kujeruhiwa baada ya basi la kampuni ya FIKOSHI linalofanya safari zake kati ya...
READ MOREKANISA la TFE KWA NEEMA lililopo Kiloleli wilayani Ilemela jijini Mwanza (almaarufu kama Kwa Askofu Mpemba) limeteketea kwa moto majira...
READ MOREUTAJISIKIAJE pale unapomwacha nyumbani mtoto wako akiwa mzima halafu ghafla unapigiwa simu na majirani na kuambiwa amefariki? Bila shaka itakuwa...
READ MOREMAGAIDI sita wa Kundi la Al-Shabaab wamethibitisha kushambulia kwa mabomu na risasi eneo la 14 Riverside, Westlands karibu na Hoteli...
READ MOREAJALI mbaya ya lori la mchanga lenya namba za usajili T155 ATC kugongana na gari la abiria aina ya Toyota...
READ MOREYamebaki masaa machache tu tuweze kuuaga mwaka 2018 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2019. Global TV tumekuandalia matukio kumi makubwa...
READ MORENYUMBA 157 yakiwamo majengo ya serikali zimebomolewa na upepo mkali ulioambatana na mvua iliyonyesha juzi Wilaya ya Nachingwea, mkoani Lindi....
READ MOREMoto mkubwa uliowaka usiku wa kuamkia leo umeteketeza ghala la Tume ya Taifa ya Uchaguzi (CENI) jijini Kinshasa na kuaharibu...
READ MORESIMANZI, vilio na majonzi vimetawala katika viunga vya mji wa Morogoro wakati wa mazishi ya aliyekuwa Msanii wa muziki wa...
READ MOREWATU wawili wamefariki dunia na wengine 21 kujeruhiwa huku sita kati yao wakiwa na hali mbaya baada ya basi la...
READ MOREWANAFUNZI wawili wa Shule za Msingi Kijichi na Shule ya Msingi Bwawani zilizopo Mtoni Kijichi wilayani Temeke jijini Dar es...
READ MOREWatu watatu wamefariki na 16 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi la Rungwe Express na gari jingine maeneo ya Iyovi mkoani...
READ MOREWATU 16 wamefariki dunia baada ya kuteketea kwa moto kufuatia ajali mbaya iliyotokea jana katika eneo la Komaswa maarufu...
READ MOREWAZIRI wa Maliasili na Utalii Mheshimiwa Dkt. Hamisi Kigwangalla jana Novemba 23, 2018 ametembealea kituo cha Afya Magugu, pamoja na...
READ MORENaibu Waziri Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye jana Jumapili Novemba 11, alinusurika kifo baada kupata ajali eneo la...
READ MORETaarifa zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa, mabehewa mawili ya treni ya mizigo ya Shirika la Reli Tanzania (TRL) yaliyokuwa yamebeba...
READ MOREWatu sita akiwemo mtoto mchanga wa jinsia ya kike wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa katika ajali iliyotokea kijiji cha...
READ MOREWATU saba ambao majina yao hayajafahamika mara moja wamefariki dunia na watatu kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari mawili ya serikali...
READ MORETRENI ya abiria inayofanya safari zake kati ya Stesheni na Pugu, jijini Dar es Salaam imepata ajali baada ya mabehewa...
READ MOREWaziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, leo Jumatano, Oktoba 31, 2018 amenusurika kupata ajali wilayani Gairo, Mkoani Morogoro dereva wa...
READ MOREBILIONEA mmiliki wa Klabu ya Soka ya Leicester City, Vichai Srivaddhanaprabha (61), raia wa Thailand amethibitishwa kuwa miongoni mwa watu waliofariki...
READ MOREWatu wanne akiwemo dereva wa Coaster wamefariki na wengine saba kujeruhiwa baada ya gari la abiria aina ya Coaster kugongana...
READ MORETAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TUKIO LA KUTITIA KWA CHOO KATIKA SHULE YA MSINGI SELIAN ARUMERU Leo 26/10/2018 majira...
READ MOREKamanda wa Polisi Mkoani Lindi, Prudeciana Protas amethibitisha kukimbia kwa dereva wa lori, mali ya Kampuni ya Dangote ambalo limesababisha...
READ MORE