The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

ajali

Majanga: V8 Yateketea Kwa Moto

Gari aina ya V8 imeteketea kwa Moto maeneo ya mwenge, karibu na Chuo kikuu cha Tumaini jijini Dar es salaam. Gari hiyo iliyokuwa kwenye maegesho eneo la Ofisi ilianza kuungua sehemu ya ndani, kwa mujibu wa mashuhuda hakuna madhara ya…

Basi la Kidia One Lapata Ajali

TAARIFA zilizotufikia hivi punde ni kwamba, watu kadhaa wamejeruhiwa baada ya busi la Kidia One linalofanya safari kati ya Arusha-Dar kupata ajali eneo la Kikatiti wilaya Arumeru mkoani Arusha. Basi hilo ambalo lilikuwa…