The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

BASHIRU

Wanawake wa Shoka Upinzani Karibuni CCM-Dkt. Bashiru

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi, Dkt. Bashiru Ally  amewakaribisha wanawake kutoka vyama vya upinzania kujiunga na CCM kwa kile alichodai kuwa milango iko wazi kupokea wanawake wapambanaji na wenye nia ya kulitumikia taifa. …

Dkt. Bashiru Amuonya Bernard Membe

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimemuonya mwanachama wake ambaye ni waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Bernard Membe, kutokuwa juu ya katiba ya chama hicho. Onyo hilo limetolewa leo tarehe 27 Novemba 2019 na Katibu Mkuu wa CCM, Dk.…