×

Tag: CHADEMA

Mahakama Yamwachia Huru Mgombea Ubunge Bukoba Mjini

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Bukoba imewaachia huru washtakiwa saba akiwemo Aliyewahi kuwa Meya wa Manispaa ya Bukoba na aliyekuwa Mgombea...

READ MORE

Ndugai Atoa Majibu “Mdee na Wenzako Chapeni Kazi” – Video

Spika wa Bunge, Job Ndugai amewataka wabunge 19 wa viti maalum ambao wamefukuzwa na chama chao cha CHADEMA kuendelea kuchapa...

READ MORE

Breaking: Nyalandu Atangaza Kurejea CCM Mbele ya Rais Samia -Video

ALIYEWAHI kuwa mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Waziri wa Maliasili na Utalii na kisha baadaye kujiunga na Chama...

READ MORE

Kimeumana! Mbunge Chadema ‘Tumefukuzwa’ Naibu Spika ‘Futa Kauli’

Mbunge Kishoa kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amelalamikia kunyimwa nafasi ya kufanya mikutano ya kisiasa kabla hajaondolewa kwenye...

READ MORE

Mwenyekiti wa Chadema Lupembe na Wanachama 150 Watimkia CCM

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasiana Maendeleo (CHADEMA) jimbo la Lupembe mkoani Njombe Enocent Gwivaha pamoja na wanachama 150,wamehama Chama hicho...

READ MORE

Mbowe: Nimepata Chanjo ya Corona ‘AstraZeneca’

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema amepata chanjo ya #COVID19 ya Astrazeneca alipokuwa...

READ MORE

Chadema Yasusa Uchaguzi Muhambwe, Kigoma

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza kutoshiriki uchaguzi mdogo katika Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma, kwa madai hautakuwa huru...

READ MORE

Bulaya Atoa Angalizo Mafunzo JKT, Serikali Yajibu – Video

MBUNGE wa viti maalum, Ester Bulaya ameishauri Serikali ya Tanzania kutoa mafunzo ya kutumia silaha kwa vijana wachache wanaoshiriki mafunzo...

READ MORE

Mnyika Akanusha Taarifa Zinazozusha Kifo cha Mrema

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika amekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itikadi,...

READ MORE

Katambi Awaponda Chadema “Huwezi Kujenga Ofisi, Utaweza Nchi?” – Video

NAIBU Waziri wa nchi, ofisi ya waziri mkuu, sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na wenye ulemavu, Patrobas Katambi, leo Machi...

READ MORE

ACT Wazalendo Yaanika Ilivyotofautiana na Membe – Video

  CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema kutokana na uzoefu waliokuwa nao kwenye chaguzi za Serikali za Mitaa, walikuwa hawaamini kama...

READ MORE

Breaking: Mdee Huru Madai ya Lugha Chafu Dhidi ya Rais

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuacha huru Mbunge wa Viti Maalumu, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Halima Mdee, baada...

READ MORE

Kilichowakuta Mdee na Wenzake Kortini Leo

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar-es-saalam, imewasomea maelezo ya awali wanachama wa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) wakiwemo...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Amani kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= Gazet la...

READ MORE

Tanzia: Chadema Yapata Pigo, Ntagazwa Afariki Dunia

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dennis Arcado Ntagazwa, amefariki dunia asubuhi ya...

READ MORE

Mbunge CHADEMA Amuomba JPM Kufuta Kesi Zote za Uchaguzi 2020

Mbunge wa viti maalum wa kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Nusrat Hanje amemuomba Rais Dkt. John Magufuli kuzifuta...

READ MORE

Waliotumuliwa Chadema Wapewa Rungu Kamati za Bunge

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai, jana Januari 18 amefanya utuezi wa wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge 17, huku...

READ MORE

Godbless Lema Apewa Hifadhi Canada

ALIYEKUWA mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Godbless Lema, amepata  hifadhi...

READ MORE

Chadema Haijapoa! Yawakomalia Mdee, Wenzake

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeanza kutumia nguvu ya mahakama kupinga mchakato wa uteuzi wa wabunge 19 wa viti...

READ MORE

Spika Ndugai: Tuendelee Kuangalia Sinema la Viti Maalam Chadema

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema zoezi la kuwaapisha wabunge 19 wa viti maalum wa Chadema lilifuata utaratibu...

READ MORE

Diwani Pekee wa Chadema Ala Kiapo

DIWANI wa kata ya Uhenga aliyeshinda katika uchaguzi mkuu kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Alfan Kawambwa, ...

READ MORE

Prof. Safari Aipa Neno Chadema Sakata la Mdee na Wenzake

Wakili wa kujitegemea, Profesa Abdallah Safari ameishauri Chadema kwenda mahakamani kuomba tafsiri ya uhalali wa ubunge wa makada 19 wa...

READ MORE

DPP Afafanua Alivyomtoa Gerezani Kada CHADEMA

MKURUGENZI wa mashtaka nchini Tanzania (DPP), Biswalo Mganga, leo Jumatano Desemba 2, 2020, ameeleza kuhusu uamuzi wake wa kumfutia mashtaka...

READ MORE

Halima Mdee, Wenzake Kukata Rufaa Ndani ya Chadema

HALIMA MDEE na wenzake 18  waliovuliwa uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Kamati Kuu ya chama hicho...

READ MORE

Video: Halima Mdee na wenzake wanazungumza na Waandishi wa Habari

Halima Mdee na wenzake wanazungumza na Waandishi wa Habari     

READ MORE

Ndugai: Tutaendelea Kuwatambua Wabunge Walioapishwa

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, amesema, Bunge litaendelea kuwatambua wabunge wote walioapishwa wakiwemo 20 kutoka Chama cha Demokrasia...

READ MORE

Chadema Yawafukuza Uanachama Mdee, Wenzake

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe,  jana alisema Halima Mdee na wenzake 18 wamevuliwa uanachama wa...

READ MORE

Mdee, Wenzake Waingia Mitini, Wadaiwa Kuwahi Mahakamani

WAKATI Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imeanza kikao chake cha dharura, jijini Dar es Salaam, kujadili...

READ MORE

Kamati Kuu Chadema Yaanza Kuwajadili Mdee, Wenzake

KIKAO cha Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeanza kwa ajili ya kuwajadili wanachama 19 walioapishwa Novemba...

READ MORE

Ndugai: Nitawalinda Wabunge Viti Maalum CHADEMA

SPIKA wa Bunge la 12, Job Ndugai, amesema, kanuni za Bunge zinamtaka kuwalinda wabunge walio wachache na maslahi yao, hivyo ...

READ MORE

BAWACHA Waandamana Wataka Mdee, Wenzake Watimuliwe

BARAZA la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) wameandamana katika ofisi za makao makuu ya chama hicho zilizopo...

READ MORE

Bavicha: Mdee, Wenzake Wasaliti Waadhibiwe – Video

MWENYEKITI wa Baraza la Vijana Chadema (Bavicha) Taifa, John Pambalu, amesema, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) walishatoa msimamo kuhusu...

READ MORE

Front Page: Utata Wabunge Chadema, Mnyika Awasha Moto – Video

KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa pamoja...

READ MORE

Kimenuka Chadema! Mdee, Wenzake Waitwa Kujieleza

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema  hakiwatambui wabunge wanawake 19 wa viti maalumu wa chama hicho wakiwemo Halima Mdee,...

READ MORE

Spika Awaonya Wabunge CHADEMA – Video

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai,  amesema kwa mujibu wa Katiba na Kanuni za Bunge hilo, wabunge 19 wa...

READ MORE

Lissu Aondoka nchini, Atoa Kauli Hii – Video

ALIYEKUWA Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameondoka nchini...

READ MORE

Lema Aachiwa, Apewa Hifadhi Kenya

ALIYEKUWA mbunge wa jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema, ameachiliwa na polisi nchini Kenya baada ya kukamatwa kwa madai ya...

READ MORE

Lema Akamatwa Kenya Akitafuta Hifadhi

ALIYKUWA  Mbunge wa Arusha Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Godbless Lema, amekamatwa na Polisi katika Kaunti ya...

READ MORE

Aida Khenan Amtaka Mbowe Kubadili Msimamo

Mbunge Mteule wa Nkasi kwa tiketi ya CHADEMA Aida Khenan amewaomba viongozi wake waangalie upya msimamo wa kutotambua ushindi wa...

READ MORE

Giza Nene Latanda Upinzani

WAKATI Watanzania wakikaa chini na kutafakari mustakabali wa siasa nchini katika kipindi cha miaka mitano ijayo, giza nene limetanda kwa...

READ MORE