×

Tag: D.k Magufuli

Maandamano Yafanyika Ufaransa Kupinga Sheria ya Usalama wa Taifa

Maelfu ya waandamanaji wamejitokeza katika miji kadhaa nchini Ufaransa kupinga muswada wa usalama ambao wanasema utawazuia watu kurekodi na kuchapisha...

READ MORE

Magufuli, Chakwera Wazungumzia Kushirikiana Kiuchumi

  RAIS wa Malawi, Lazarus Chakwera, anatarajiwa kukaa nchini  siku tatu ambapo atakuwa na mazungumzo na mwenyeji wake, Rais John...

READ MORE

Breaking: Rais Magufuli Ahirisha Sherehe Za Mashujaa 2020

Rais John Magufuli ameahirisha sherehe za mashujaa zilizokuwa ziganyike Julai 25 mwaka huu jijini Dodoma. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa...

READ MORE

JPM Awapongeza Wanawake Nchini, Serikali Kuendelea Kuwathamini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amesema kuwa Serikali yake itaendelea kuwathamini na kuwaheshimu wanawake...

READ MORE

Mapokezi ya Ndege Mpya Boeing 787-8 Dreamliner, Dar

Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo Julai 08, 2018 ataongoza mapokezi ya ndege mpya iliyonunuliwa na Serikali kwa ajili...

READ MORE

LIVE: Rais Magufuli Akihutubia Bunge la Afrika Mashariki

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 24 Aprili, 2018 analihutubia Bunge la Afrika...

READ MORE

Barua ya Profesa Kitila Mkumbo Kwenda Kwa Mkuu wa Kanisa la KKKT

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Dk Kitila Mkumbo amemwandikia barua Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), Askofu...

READ MORE

RAIS MAGUFULI ASHIRIKI IBADA YA JUMAPILI YA MATAWI KANISA LA MTAKATIFU PETRO, DAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli na mke wa Waziri...

READ MORE

Wazazi Tumsaidie Rais Magufuli Kuhusu Elimu Bure

NIANZE kwa kumshukuru Mungu kwa kunipa afya njema na kuweza kuandika makala haya kwenye safu hii leo. Hakuna anayebisha kwamba...

READ MORE

Rais Magufuli Anastahili Pongezi, Amefunua Blanketi Lililotufunika

MUNGU ni mwema kwa sababu ametufikisha leo tukiwa wazima, hakika ahimidiwe daima. Leo nachukua nafasi hii kumpongeza Rais Dk. John...

READ MORE

JUKWAA LA KATIBA KUWASHITAKI POLISI KWA KUZUIA MAANDAMANO

MWENYEKITI wa Jukwaa la Katiba Tanzania (JUKATA), Hebron Mwakagenda amesema wameazimia kufungua kesi ya kudai haki ya kufanya maandamano ya...

READ MORE

Saleh Ally: Baada Ya Makinikia, Barua Yangu Kwako Rais Magufuli

MAJUKUMU ya kusimamia utendaji bora katika nchi haliwezi kuwa jambo rahisi au dogo, lakini ningependa kutumia nafasi hii kufikisha ujumbe...

READ MORE

Mawaziri wa Magufuli: Mhe Rais, Kazi Tunaipenda, Tuna Watoto Lakini…

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli ‘JPM’ anakaribia kutimiza miaka miwili madarakani tangu alipoapishwa Novemba...

READ MORE

Mastaa Wafunguka Ruge, Makonda Kupatana!

MWISHONI mwa wiki iliyopita, Rais Dk John Pombe Magufuli ‘JPM’ akiwa mkoani Tanga kwenye hafla ya uzinduzi wa bomba la...

READ MORE

Taarifa Toka Kurugenzi Ya Mawasiliano Ya Rais Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amesema Serikali imeanza kuchukua hatua dhidi ya watu...

READ MORE

Kampeni ya ‘Magufuli Baki’ Kuanza ‘Soon’

  KAMPENI ya ‘Magufuli Baki’ iliyoanzishwa karibuni na mwanaharakati ambaye pia aliwahi kuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Sengerema kupitia...

READ MORE

Rais Magufuli Aweka Jiwe la Msingi Uboreshaji Wa Bandari Dar (Pichaz + Video)

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia,...

READ MORE

JPM Afungua Kiwanda cha Vifungashi Cha Global Packaging, Pwani

Rais John Magufuli amefungua kiwanda cha vifungashi cha Global Packaging (T) LTD mjini Kibaha asubuhi hii ikiwa ni siku ya...

READ MORE

Rais Magufuli Afanya Uteuzi wa Naibu Magavana Wawili wa Benki Kuu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 31 Mei, 2017 amefanya uteuzi wa...

READ MORE

Rais Magufuli na Mkewe Watembelea Wagonjwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Mkewe Mama Janeth Magufuli wakimjulia hali...

READ MORE

Rais Magufuli Ahudhuria Ibada ya Jumapili Makanisa Mawili Tofauti Mjini Moshi

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipokea Ekaristi Takatifu toka kwa Askofu Isaac Aman...

READ MORE

Alichosema Rais Magufuli Baada Ya Polisi 8 Kupigwa Risasi na Kuuawa, Mkuranga

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amepokea kwa mshtuko na masikitiko makubwa taarifa za...

READ MORE

Raza Amuunga Mkono Rais Magufuli Vita Dhidi ya Matumizi ya Madawa ya Kulevya

MWAKILISHI wa Jimbo la Uzini Zanzibar Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja Mhe Mohammed Raza, leo amezunguamza na waandishi...

READ MORE

Rais Magufuli Ahudhuria Kikao Cha Umoja wa Afrika Mjini Addis Ababa Ethiopia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. JohnPombe Magufuli akizungumza jambo na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio...

READ MORE

Rais Magufuli Amuapisha Kaimu Jaji Mkuu, Ikulu Dar

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha Profesa Ibrahim Hamisi Juma kuwa Kaimu Jaji...

READ MORE

Tumbuatumbua ya Magufuli yailiza tena familia ya Malecela!

  Rais John Magufuli Matamko yawaponza Anne na Mwele Na Walusanga Ndaki/GPL DHAMIRA ya Rais John Magufuli kutaka kuwarudisha Watanzania...

READ MORE

Rais Akana Kumng’oa Gambo

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo.  RAIS John Magufuli amemhakikishia Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo kuwa taarifa...

READ MORE

Rais Magufuli Na Waziri Mkuu Majaliwa Wakutana Na Kiongozi Mkuu Wa Dawoodi Bohora Duniani Ikulu Dar

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha Kiongozi Mkuu wa Jumuiya ya Dawoodi Bohora...

READ MORE

Rais Magufuli afuta safari za Viongozi wa Mikoa na Wilaya kwenda Bariadi Kuzima Mwenge wa Uhuru

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Eng. John Kijazi akitangaza maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. John Pombe...

READ MORE

Magufuli Amteua Mrithi wa Gambo

Rais Dk. John Pombe Magufuli amemteua Gabriel Fabian Daqarro kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arusha akichukua nafasi ya Mrisho Gambo...

READ MORE

Rais Magufuli awasili Daraja la Kigamboni kwa uzinduzi

Rais Dk. Magufuli. RAIS Dk. John Pombe Magufuli amewasili katika daraja la kisasa la Kigamboni tayari kwa uzinduzi wa daraja...

READ MORE

JPM afanya ukaguzi wa kushtukiza Muhimbili

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akielekea katika Wodi ya Wazazi kufanya ukaguzi wa ghafla...

READ MORE

Ziara ya Rais Magufuli Mkoani Arusha

Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa kimataifa wa ndege wa KIA...

READ MORE

Rais Magufuli afuta sherehe za maadhimisho ya Ukimwi

Rais Dk. John Pombe Magufuli. Rais John Magufuli amesitisha maadhimisho ya siku ya Ukimwi kitaifa ambayo yalikuwa yafunguliwe mkoani Singida...

READ MORE

Magufuli na siri ya Alhamisi

Gladness Mallya SIRI nzito! Imebainika kuwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ana siri nzito...

READ MORE