The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

EPL

Arsenal Dimbani Leo na Rekodi Mbovu

WAKATI  ikishuka dimbani leo dhidi ya Norwich, Klabu ya Arsenal imeweka rekodi mbovu kwa mechi za mwanzo ndani ya Ligi Kuu England kwa kushindwa kukusanya pointi hata moja pamoja na bao. Arsenal imecheza mechi tatu za Ligi…

Kane Aitega Spurs

MSHAMBULIAJI wa Tottenham Hotspurs, Harry Kane imeripotiwa kuwa anataka kulipwa mshahara wa Paundi 400,000 sawa na Bil. 1.2 na ushee hivi za kitanzania kwa wiki, na kumfanya kuwa mchezaji anayelipwa mkwanja mrefu zaidi ligi kuu ya…

PSG Yamfukuza Kazi Kocha Wake

Klabu ya Paris Saint Germain (PSG) ya nchini Ufaransa leo Desemba 24, 2020 imemfuta kazi Kocha, Thomas Tuchel kwasababu ya kutoridhishwa na matokeo ya hivi karibuni PSG inashika nafasi ya tatu katika Msimamo wa Ligi Kuu…

Arteta: Spurs Wapo Vizuri Zaidi Yetu

BOSI wa Arsenal, Mikel Arteta, amekiri kuwa Tottenham inastahili kuwa juu kwenye msimamo wa Premier kutokana na kufanya vizuri, Leo Jumapili, Arsenal na Tottenham zitavaana kwenye Uwanja wa Tottenham katika mechi ya Premier. …

Hatimaye Mashabiki Uingereza Kurejea Uwanjani

HUENDA mashabiki wa soka nchini Uingereza wanaweza kurejea tena viwanjani hivi karibuni, baada ya ombi la mashabiki kupata saini nyingi kutoka kwenye Bunge la Uingereza ambalo limepanga kuijadili taarifa hiyo Novemba 9, mwaka huu.…

Premier kuomboleza kupotea kwa Sala

UONGOZI wa Ligi Kuu ya England ‘The Premier League’ umethibitisha kuwa timu zote shiriki zitakuwa na dakika moja ya ukimya kwa ajili ya kumbukumbu ya tukio la kupotea mchezaji Emiliano Sala aliyekuwa amesajiliwa na Cardiff City. Sala…

Msuva Ataja Dakika 450 za Kifo

Said Ally | Championi Ijumaa | Habari KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva, ameweka wazi kuwa watapambana kwa ajili ya kuhakikisha timu yao inaipiku Simba katika vita ya kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, akasisitiza…