Hamisi Bss: Nimesafisha Macho
MSHIRIKI wa Shindano la Bongo Star Search (BSS), Hamisi Saidi amesema hata kama hatonyakuwa kitita cha shilingi milioni 20 lakini atakuwa amesafisha macho kwa kiasi kikubwa sana na hawezi kujutia nafasi hiyo aliyoipata hata.
…