The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

Heritier Makambo

Makambo Apelekwa Kenya

HUKU timu yake ya zamani ya Yanga ikipewa Waarabu kutoka Misri timu ya Pyramids FC, Heriter Makambo na timu yake ya Horoya AC wamepangiwa kucheza dhidi ya timu ya Bandari kutoka Kenya. Makambo anayeitumikia Horoya AC ya…

Azam FC waitana, wamjadili Makambo

VIGOGO wa Azam FC wametishwa na fomu ya Yanga ya kushinda mechi zao licha ya kwamba wako ‘unga’ kiuchumi, hivyo Jumatatu walikaa kikao kwa ajili ya kuwajadili akiwemo straika wao, Heritier Makambo anayeongoza kwa mabao katika kikosi…

ZAHERA KUWAKALISHA KINA MAKAMBO

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera raia wa DR Congo amesema kila siku atawapatia mbinu mpya washambuliaji wake, Heritier Makambo na Ibrahim Ajibu kwa lengo la kuiimarisha safu yake hiyo ili watupie zaidi. Yanga inaongoza msimamo wa…

Makambo Atawafunga Sana

KOCHA wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema straika wake mwenye mabao 11, Heritier Makambo atatupia sana mzunguko wa pili kama hatajichanganya. Kwa sasa Yanga ipo kwenye nafasi ya kwanza katika msimamo wa ligi, ikiwa imejikusanyia…

Rekodi ya Makambo Yaitesa Simba

MAMBO ni moto! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya mshambuliaji wa Yanga, raia wa DR Congo, Heritier Makambo, kuandika rekodi ya pekee hivi karibuni katika michuano ya Ligi Kuu Bara ambayo ilimshinda mshambuliaji wa kimataifa wa…

Makambo Afunika Rekodi Ya Okwi Bara

STRAIKA Heritier Makambo wa Yanga hivi karibuni alivunja rekodi yake aliyoiweka ya kufunga mabao saba katika kipindi cha kwanza kwenye kila mechi za timu hiyo baada ya kufunga bao kipindi cha pili na kuifanya Yanga iibuke na ushindi wa…

Makambo Anachinja Tu!

BAO la Straika Mkongomani, Heritier Makambo jana usiku liliipeleka Yanga kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kushinda bao 1-0 na kufikisha pointi tisa huku mashabiki nje ya Uwanja wa Taifa wakiimba…

Waarab Wamfuata Makambo Yanga

SIKU za mshambuliaji wa Yanga Mkongomani, Heritier Makambo za kuendelea kubaki kukipiga Jangwani huenda zikawa zinahesabika baada ya baadhi za klabu za nje ya nchi kupiga hodi kuwania saini yake. Makambo ni kati ya…

Makambo Mfalme Mpya Yanga SC

STAA wa Yanga kwa sasa ni Papy Tshishimbi, hiyo ni kutokana na kucheza kwa kiwango cha juu kwa muda tangu atue kikosini hapo, lakini inavyoonekana upepo unaelekea kubadilishwa. Hali hiyo inatokana na mazingira ya kikosi…