Jaffo Atoa Siku 45 Mpwapwa
UONGOZI wilaya ya Mpwapwa imepewa siku 45 kukamilisha usimikaji wa mabomba na matanki ya kuhifadhi maji safi na salama kwenye vijiji vya Mbugani, Ngh’ambi na Kiegea katika Wilaya ya Mpwapwa.
Agizo hilo limetolewa na Waziri wa Nchi…
