Waziri wa Maji Azindua Bodi ya Sita ya Wakurugenzi wa Bonde la Wami/Ruvu
WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso (Mb) Amezindua Bodi ya Sita ya Wakurugenzi Bonde la Wami/Ruvu na kuweka jiwe la Msingi la Jengo la Ofisi Mpya za Bodi hiyo ambapo Hafla ya Uzinduzi huo imefanyika Mkoani Morogoro.
Hafla hiyo…