The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

kanumba

Tishio Ugonjwa Uliyomuua Seth Bosco

  ‘NI TISHIO’ ndivyo unavyoweza kuutafsiri ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo ambao wiki iliyopita uliongezea pigo lingine katika familia ya Flora Mtegoa ‘Mama Kanumba’ baada ya Seth Bosco kufariki Desemba 7, mwaka huu. Seth…

Baba Kanumba Amsaka Lulu

IKIWA ni siku moja imepita tangu msanii wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amalize kifungo cha nje alichokuwa amehukumiwa kwa kesi ya kumuua bila kukusudia aliyekuwa msanii maarufu wa filamu, Steven Kanumba, baba mzazi wa…

Lulu Auvaa Moto wa Mama Kanumba

MAMBO ni moto! Wakati chozi la furaha ya kupunguziwa adhabu likiwa bado halijamkauka muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’, mama wa aliyekuwa mchumba wa muigizaji huyo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amefungua kinywa chake na…