Jino la Waziri Mkuu wa Kwanza wa Congo Kurudishwa Kutoka Ulaya
UBELGIJI itamrudishia rasmi Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Felix Tshisekedi jino ambalo Kamishna wa Polisi wa Ubelgiji anadai ililitoa kwenye mwili wa Patrick Lumumba alipomsaidia kutoweka.
Lumumba alikuwa Waziri…