The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Maalim Seif

We Miss Them!

WE miss them so much (tumewamisi mno)! Ndivyo wasemavyo Watanzania walio wengi wakati huu zikiwa zimesalia takriban siku 20 kumalizika kwa mwaka 2021; mwaka unaoelezwa kutawaliwa na machozi kila kona kutokana na vifo vingi vya viongozi,…

Maalim Seif Kuzikwa Leo Pemba

Mwili wa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad utazikwa leo Alhamisi Februari 18, 2021 mjini Pemba, Zanzibar. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaeleza kuwa…

Rais Mwinyi Amteua Maalim Seif

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi amemteua Maalim Seif Sharif Hamad kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar. Uteuzi huo umeanza jana Disemba 6, 2020. Hii imekuja baada ya Chama cha…

Maalim Seif Apiga Kura Zanzibar

MGOMBEA urais Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif,  amefika katika kituo cha Garagara, Jimbo la Mwera,  na kupiga kura mapema leo Jumatano, Oktoba 28, 2020. Aidha,  amesema  ametiwa moyo na watu wengi kujitokeza…