Marekani imemkatalia waziri wa mambo ya nje wa Iran, kutembelea Washington
Marekani, Jumatatu imesema ilikataa maombi ya waziri wa mambo ya nje wa Iran, ya kutembelea Washington, wiki iliyopita sababu ikiwa ni wasiwasi wa rekodi ya Tehran ikijumuisha kushikiliwa kwa raia wa Marekani siku za nyuma.
Waziri wa…
