×

Tag: Marekani

Marekani imemkatalia waziri wa mambo ya nje wa Iran, kutembelea Washington

Marekani, Jumatatu imesema ilikataa maombi ya waziri wa mambo ya nje wa Iran, ya kutembelea Washington, wiki iliyopita sababu ikiwa...

READ MORE

Mshambuliaji Aua Watu 6 katika Shule ya Jimbo la Marekani la Tennessee

Mshambuliaji mwanamke Machi 27, 2023 ameua watoto watatu na watu wazima watatu katika shule ya sekondari ya kikatoliki katika jimbo...

READ MORE

Puto Lasitisha Ziara ya Waziri Blinken China

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Antony Blinken ameahirisha safari yake ya kwenda China kwa mazungumzo na waziri wa...

READ MORE

Wadau wa Sanaa Seattle Kuupeleka Muziki wa Tanzania Kimataifa

MUZIKI na sanaa nyingine za Tanzania vitapata fursa nyingine muhimu kuzidi kupaa kimataifa kufuatia mazungumzo yaliyofanyika kati ya wawakilishi wa...

READ MORE

Jamaa Raia wa Marekani Atupwa Jela Miaka Minne kwa Kumpiga Teke Afisa wa Polisi

MAHAKAMA moja katika mji wa magharibi mwa Russia ya Voronezh, Jumanne imemuhukumu raia wa Marekani mwenye umri wa miaka 28...

READ MORE

Marekani Yatangaza Msaada wa Dola Milioni 625 kwa Ukraine

MAREKANI imetangaza msaada mwingine wa kiasi cha fedha cha Dola Milioni 625 kwa nchi ya Ukraine ili kiweze kuwasaidia katika...

READ MORE

Marekani Yaionya Urusi Juu ya Utumiaji wa Silaha za Nyuklia Nchini Ukraine

NCHI ya Marekani imetoa onyo kali kwa nchi ya Urusi kuwa itajibu mapigo mara moja endapo kama nchi hiyo itatumia...

READ MORE

Marekani Yaadhimisha Miaka 21 Tangu Shambulio Kubwa la Kigaidi ‘Septemba 11’

Rais wa Marekani Joe Biden na Makamu wa Rais Kamala Harris wamewaongoza Wamerekani kuadhimisha miaka 21 tangu kutokea kwa shambuliao...

READ MORE

Zion Clark: Mwanaume Asiye Na Miguu Aliyeweka Rekodi Ya Kutembea Kwa Kasi Zaidi Duniani

Zion Clark   Watu wengi huamini kwamba mtoto akizaliwa na ulemavu, basi hawezi kuwa na uwezo wowote wa kufanya mambo...

READ MORE

Tajiri Kijana Aliyewekeza Kwenye Bitcoin na Akaamua Kuishi Ndani ya Gari

KUTANA na kijana Ben Yu kutoka nchi ya marekani mwenye miaka 26, Ben Yu aliakuwa akisoma katika chuo cha Harvard,...

READ MORE

Kampuni ya Kompyuta ya Dell ya Marekani Yasitisha Rasmi Huduma Zake Nchini Urusi

KAMPUNI ya teknolojia ya Dell yenye Makao yake Makuu nchini Marekani inasema ilikuwa imemaliza shughuli zote nchini Urusi baada ya...

READ MORE

Mkuu wa Polisi wa Marekani Afukuzwa Kazi, Atuhumiwa kwa Uzembe Kazini

MKUU wa Polisi, Pete Arredondo aliyetuhumiwa kwa kutochukua hatua stahiki katika tukio la mauaji ya wanafunzi 19 na walimu wawili...

READ MORE

Zaidi ya Nyaraka 300 za Siri Zakutwa Kwenye Makazi ya Trump

SERIKALI ya Marekani imekuta zaidi ya nyaraka 300 zenye alama ya siri nzito za serikali ya nchi hiyo, zikiwa kwenye...

READ MORE

Donald Trump Aja na Madai Mazito Dhidi ya FBI, Alaani Jitihada za Kumdhoofisha Kisiasa

WIKI iliyopita, Maafisa wa Usalama Marekani (FBI) walivamia katika nyumba ya aliyekuwa Raisi wa marekani Donald Trump na kusema walipata...

READ MORE

Trump Awaka Kupekuliwa na FBI, Adai ni Njama za Kumrudisha Nyuma Kisiasa

FBI ilipekua makazi ya Donald Trump ya Mar-a-Lago kama sehemu ya uchunguzi wa kama alichukua nyaraka za siri kutoka Ikulu...

READ MORE

Serena Williams Atangaza Kustaafu Tenisi, Familia Yatumika kama Kigezo

SERENA Williams amethibitisha kuwa atastaafu kucheza tenisi mchezo uliomfanya ashinde mataji 23 ya Grand Slam Single.   Serena mwenye umri...

READ MORE

Ndege Yalipuka Wakati Ikitua Jijini California, Rubani na Abiria Wanusurika

    RUBANI pamoja na abiria waliokuwa kwenye ndege ndogo yenye injini moja wamenusurika kifo baada ya ndege hiyo kulipuka...

READ MORE

Balozi wa Marekani Aionya Afrika Kununua Mafuta Kutoka Urusi

BALOZI wa Marekani katika Umoja wa Mataifa Linda Thomas Greenfield, amesema kuwa Mataifa ya Afrika hayapaswi kununua mafuta kutoka katika...

READ MORE

China Yaiwekea Vikwazo vya Biashara Taiwan Kufuatia Ziara ya Pelosi

NCHI za China na Taiwan zimeingia katika mgogoro mkubwa wa kibiashara kufuatia ziara ya Spika wa Bunge la Congress la...

READ MORE

China Ipo Tayari Kutumia Nguvu za Kivita Endapo Mjumbe wa Marekani Ataingia Taiwan

IKULU ya White House imeonya kuwa China inaweza kutumia matumizi ya zana za kivita ikiwemo kurusha makombora, ndege pamoja na...

READ MORE

Biden: Hatimaye Haki Imepatikana Baada ya Kumuua Gaidi wa Al Qaeda

RAIS wa Marekani Joe Biden amelihutubia Taifa hilo na kutoa kauli nzito juu ya kifo cha kiongozi wa kundi la...

READ MORE

Muuaji Nchini Marekani Auawa Licha ya Ombi Kutoka kwa Muathiriwa Kutaka Kumuokoa

MFUNGWA Nchini Marekani aliyejulikana kwa majina Joe Nathan James, ambaye alimuua mpenzi wake wa zamani Miongo kadhaa iliyopita amenyongwa.  ...

READ MORE

Moto wa Mckinney Waenea kwa Kasi Kaskazini mwa Jimbo la Califonia

MAMIA ya wazima moto huko California wapambana na Moto mkubwa zaidi wa Mwituni unaoendelea kuenea katika Jimbo la Kaskazini Nchini...

READ MORE

Black Panther: Wakanda Forever Hewani Rasmi Novemba 11, Ni Mwendelezo wa Utamu

GOOD news kwa wapenzi wa movie ni kwamba sehemu ya pili ya movie iliyopata mafanikio makubwa duniani na kupendwa na...

READ MORE

Mike Tyson Asema Siku Yake ya Kufa Imekaribia, Atoa Ushuhuda kwa Daktari Wake

MWANAMASUMBWI mkongwe kutoka Marekani, Mike Tyson ameushangaza ulimwengu baada ya kudai kwamba kila mara anapotafakari kuhusu maisha yake siku hizi,...

READ MORE

Rais Biden Akutwa na Covid-19, Taarifa Yatikisa Ikulu ya Marekani

RAIS wa Marekani Joe Biden ameripotiwa kukutwa na maambukizi ya Virusi vya Covid-19 hiyo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa...

READ MORE

Mfungwa Aliyewapa Wenzake Mimba Ahamishwa Gereza, Kuzuia Asije Akawapa Wengine

  MFUNGWA Demi Minor (27), ambaye miezi michache iliyopita alizusha gumzo kubwa baada ya kuwapa ujauzito wafungwa wenzake katika Gereza...

READ MORE

Mke wa Zamani wa Donald Trump, Ivana Afariki Dunia Akiwa na Umri wa Miaka 73

MKE wa kwanza wa  Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump, Ivana Trump amefariki dunia Julai 14, 2022 nyumbani kwake ...

READ MORE

Ahukumiwa kwa Kesi ya Kumbaka Mtoto wa Miaka 10, Ambaye alikataliwa Kutoa Ujauzito

MWANAUME mmoja katika mji wa Ohio nchini Marekani amehukumiwa kwa kosa la ubakaji baada ya kumpatia ujauzito binti mwenye umri...

READ MORE

Marekani iko Tayari Kuishauri Tanzania Kuhusiana na Usalama wa Mipaka Yake

  SERIKALI ya Marekani imesema kwamba ipo tayari kutoa ujuzi na ushauri kwa Tanzania kahusiana na masuala ya kiusalama kwa...

READ MORE

Anunua Ice Cream ya Kopo na Kukuta Chura Ameganda, Adai Imetoka Kama Ilivyo Kiwandani

MWANAMKE mmoja aliyefahamika kwa jina la Tracy Wiemelt Holtman yamemkuta baada ya kununua Ice cream dukani lakini alipofungua bakuli husika...

READ MORE

R Kelly Ahukumiwa Miaka 30 Jela kwa Kosa la Unyanyasaji wa Kingono

  MSANII maarufu wa R&B wa nchini Marekani Robert Kelly (55) maarufu kama R Kelly amehukumiwa jela kifungo cha miaka...

READ MORE

Rais Biden Atangaza Kuongeza Nguvu za Majeshi kwa Mataifa ya Jumuiya ya NATO

RAIS wa Marekani Joe Biden ametangaza hatua maalum ya nchi yake katika kuhakikisha usalama wa mataifa ya Ulaya hasa yale...

READ MORE

Ikulu ya Marekani Yapanga Kupunguza Nikotini kwenye Sigara

IKULU ya Marekani White House imetangaza mipango ya kupunguza kiwango cha malighafi ya Nikotini kwenye sigara hatua inayosemekana kuwa inaweza...

READ MORE

Urusi Yamhukumu Jela Miaka 14 Raia wa Marekani Kwa Kosa la Kukamatwa na Bangi

RAIA wa mmoja wa Marekani anayefahamika kwa jina la Marc Fogel amehukumiwa kwenda jela miaka 14 nchini Urusi kwa kosa...

READ MORE

Aliyeandika Kitabu ‘Jinsi Ya Kumuua Mumeo’ Ahukumiwa kwa Kumuua Mumewe

MWANDISHI wa kitabu chenye jina lisemalo ‘Jinsi ya kumuua mume wako’ kutoka nchini Marekani aitwaye Nancy Crampton Brophy, mwenye umri...

READ MORE

Marekani Kuipatia Ukraine Mfumo aa Makombora ya Masafa Marefu

SERIKALI ya Marekani ipo kwenye mpango wa kuipatia Ukraine mfumo wa kurusha roketi nyingi za masafa marefu unaojulikana kama M270...

READ MORE

Mtanzania Auawa Kwa Kupigwa Risasi Nchini Marekani

MTANZANIA Rogers Kyaruzi mwenye umri wa miaka (30), aliyehamia Marekani akiwa mdogo, ametambulika kuwa ndiye aliyeuawa kwa kupigwa risasi na...

READ MORE

Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris Akutwa na Corona

MAKAMU wa Rais wa Marekani Kamala Harris amekutwa na Korona, taarifa imetolewa na Ikulu ya Marekani. Makamu huyo wa Rais...

READ MORE