×

Tag: MASTAA WA BONGO

Wazee wa Ngwasuma ni Shida Stejini

Usiku wakuamkia leo bendi ya FM Akademia Wazee wa Ngawasuma ilifanya makamuziki kwenye ukumbi wa Meeda uliopo Sinza jijini Dar....

READ MORE

Tiko Aapa Kuweka Historia 2018

MSANII wa filamu za Kibongo, Tiko Hassan ameibuka na kueleza kuwa ndani ya mwaka huu mpya wa 2018 ni lazima...

READ MORE

Mr Ebbo Akumbukwa Mkesha wa Mwaka Mpya Dar Live

MSANII wa Bongo Fleva, Papaa Masai wiki iliyopita aliwaongoza mashabiki wa burudani kumkumbuka msanii, marehemu Mr Ebbo kwa kuimba wimbo...

READ MORE

Pretty Kind Alizwa Minoti

MSANII wa filamu Bongo, Suzan Michael ‘Pretty Kind’ amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kuibiwa hela kiasi cha shilingi milioni...

READ MORE

Shilole, Uchebe Mnaweza Kuushangaza Ulimwengu!

KWANZA kabisa nimshukuru Mungu kwa kuweza kusherehekea vyema Sikukuu ya Krismasi, bila shaka nawe mpenzi msomaji u miongoni mwao. Huku...

READ MORE

Mlela: Sijaona Mke Wa Kunifaa

MUIGIZAJI wa Bongo Muvi, Yusuf Mlela amefunguka kuwa bado hajamuona mwanamke wa kumshawishi kuoa hadi pale Mungu atakapomuonesha.   Akizungumza...

READ MORE

Ali Choki Alia Vyuma Kubana

MWANAMUZIKI nguli wa muziki wa dansi nchini, Ally Choky amesema kuwa kukaza kwa vyuma kumesababisha mashabiki wengi kutohudhuria kwenye maonyesho...

READ MORE

Barnaba Kuibuka na Ben Pol

MKALI wa Bongo Fleva, Elias Barnaba amefunguka kuhusu kufanya kolabo la maana na msanii mwenzake Ben Pol, mwakani 2018. Akizungumza...

READ MORE

Dina Marious Afunguka Mzazi Mwenzake

BAADA ya kusambaa kwa picha zinazomuonesha mzazi mwenzake mtangazaji maarufu Bongo, Dina Marious, Ruben Ndege ‘Ncha Kali’ akiwa anamchumbia mwanamke...

READ MORE

Lucy Komba Arudi Shule

STAA wa filamu za Kibongo ambaye makazi yake kwa sasa ni nchini Denmark, Lucy Komba amefunguka kuwa ameamua kurudi shule...

READ MORE

Duma: Mastaa Wengi Wa Filamu Ni Ombaomba

MSANII wa filamu Bongo, Daud Michael ‘Duma’ ameibuka na kuwachana mastaa wenzake hasa wa filamu kuwa wengi ni ombaomba ndiyo...

READ MORE

Jike Shupa ageukia kupika ubwabwa

MUUZA sura kwenye video mbalimbali za wasanii wa Bongo Fleva, Zena Abdallah ‘Jike Shupa’ ameamua kugeukia mapishi baada ya kuona...

READ MORE

BOMBARDIER AMTOA POVU DULLY SYKES

ETI kisa Bombardier! Mkongwe wa Bongo Fleva nchini, Dully Sykse ametoa povu ikiwemo kutangaza vita na wasanii wa kizazi kipya...

READ MORE

Aunty Lulu Atoboa Siri Ya Kujiachia Viwanja

ALIYEKUWA mtangazaji Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ kila kukicha amekuwa akionekana akijiachia viwanja mbalimbali akila bata ambapo ameibuka na kutoboa siri...

READ MORE

Chuchu: Wanaoendekeza Za Utupu Watajuta!

STAA wa filamu Bongo, Chuchu Hans amewananga wauza nyago ambao wameibuka na picha za utupu kwa lengo la kusaka umaarufu...

READ MORE

Bongo Muvi, Pendaneni Muwe Bora

  NIMSHUKURU Mungu kwa kudra na rehema zake kwa sababu ya pumzi ya bure ambayo ninaitumia maishani mwangu. Asante pia...

READ MORE

Davina: Siwezi Kutumika Tena Kwa Wanaume

MUIGIZAJI mkongwe Bongo Muvi, Halima Yahaya ‘Davina’, amesema hapendi tena kutumika kwa wa­naume ambao hawana msima­mo katika maisha yake zaidi...

READ MORE

Stress Zamuhamisha Sandra

Staa wa filamu za Kibongo tangu kitambo, Salma Salmin ‘Sandra’ amehama nchi na kuhamia nchini Kenya ambapo amedai kuwa stress...

READ MORE

Viongozi Wasusia Uzalendo Kwanza

HABARI ya mjini ni kwamba viongozi wa taasisi ya Uzalendo Kwanza wameamua kujiweka pembeni kwa kile walichodai kwamba hawamuelewi mwenyekiti...

READ MORE

Faiza Ataja Sababu Za Kumuanika Mzazi Mwenziye

  MSANII wa filamu Bongo, Faiza Ally amesema kuwa, japo mwanzoni aligoma kumuanika baba mtoto wake lakini siku chache zilizopita...

READ MORE

Sasha: Naolewa Kutoa Nuksi

MWANADADA mwenye mvuto wa aina yake Bongo, Sasha Kassim ambaye anatarajia kufunga ndoa mwanzoni mwa mwaka kesho amesema kuwa, ameamua...

READ MORE

Saida Karoli – Omulilo (Official Music Video )

 MSANII mkongwe wa muziki wa asili, Saida Karoli ambaye hivi karibuni amekuwa akitamba na wimbo wake wa Orugambo baada...

READ MORE

Sandra Aanika Udhaifu wa Bongo Movies

MSANII wa filamu Bongo, Salama Salmini ‘Sandra’ ambaye kwa sasa ana mkataba mnono wa kucheza Tamthilia ya Nyota nchini Kenya,...

READ MORE

Johari: Ndiku Alitupa Raha

BLANDINA Chagula ‘Johari’ amemfungukia aliyekuwa mume wa muigizaji Irene Uwoya, marehemu Hamad Ndikumana kuwa enzi za uhai wake, aliwapa bata...

READ MORE

Davina Atetea Viben’ten

LICHA ya wengi kuwaponda wanawake wenye umri mkubwa wanaokuwa na uhusiano wa kimapenzi na wanaume wadogo kiumri ‘viben’ten’, staa wa...

READ MORE

Barua Nzito: Ferooz Usijidanganye Mwenyewe!

HABARI za leo mabibi na mabwana. Kwa rehema zake Mwenyezi Mungu ni imani yangu kuwa wote tumeamka salama na tunaendelea...

READ MORE

Jide, FA Wanaurudisha Muziki wa Bongo Juu

  KAMA ilivyokuwa wakati walipotibuana, kwamba watu wachache walio karibu yao ndiyo waliojua chanzo, ndivyo inavyotokea tena sasa hivi inapofahamika...

READ MORE

Nandy: Sipendi Kwa Mkwanja

MWANA-DADA anayefanya vizuri katika Bongo Fleva Faustina Charles ‘Nandy’ ameeleza kuwa hampendi mwanaume kwa sababu ya mkwanja isipokuwa anataka mapenzi...

READ MORE

Rosa Ree Aeleza Alivyomtosa FID Q

MWANAMUZIKI chipukizi anayekuja kwa kasi kwenye muziki wa Bongo Fleva, Rosa Ree ameeleza jinsi alivyomtosa Fid Q kwenye kolabo ya...

READ MORE

Nandy Ajivunia Kolabo na Aslay

  STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Faustina Charles ‘Nandy’ ameeleza kuwa anajivunia kufanya kolabo na msanii mwenzake ambaye yupo...

READ MORE

Maya Atoa Sababu Ya Kutomposti Lulu

MUIGIZAJI mkongwe wa Bongo Muvi, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefungukia sababu za kutoposti picha yoyote ya msanii Elizabeth Michael ‘Lulu’ kipindi...

READ MORE

Chuchu ‘Awaka’ Kuachana na Ray

  STAA wa filamu Bongo, Chuchu Hans kwa mara ya kwanza amegeuka mbogo ‘amewaka’ baada ya kuulizwa madai ya kuachana...

READ MORE

Saby Angel: Afungukia Kufichwa Nje ya Nchi

BAADA ya kupotea kwa kipindi kirefu huku tetesi zikienea kuwa amefichwa nje ya nchi na pedeshee, msanii wa filamu Bongo...

READ MORE

Mastaa wa Nje Wanaogelea Noti, Wetu Hawana Habari

WAKATI michezo na sanaa imekuwa ni kazi na biashara inayowaingizia fedha nyingi watu wa mataifa ya nje kwa miaka mingi,...

READ MORE

Chuz: Kiki Hazina Mpango

  MKONGWE wa filamu za Kibongo, Tuesday Kihangala ‘Mr Chuz’ ameibuka na kuwataka wasanii wenzake kuachana na kiki kwani hazina...

READ MORE

Mr. Nice Afungukia Kususa Shoo Za Bongo

MKALI wa Miondoko ya Tanzania, Kenya na Uganda (Takeu), Lucas Mkenda ‘Mr. Nice’ amefungukia sababu za kususa shoo ndani ya...

READ MORE

AY, FA Kurudi Tena Mahakamani

WANAMUZIKI ambao wanakimbiza kwenye gemu la Muziki wa Hip Hop Bongo muda mrefu, Ambwene Yessaya ‘AY’ na Hamis Mwinjuma ‘MwanaFA’,...

READ MORE

Husna Mkongo Umebaki Ushkaji Tu

MUIGIZAJI wa filamu, Husna Maulid kwa mara ya kwanza amefungukia uhusiano wake kimapenzi na Mkongo, Mwami Radjab kuwa kwa sasa...

READ MORE

Flash Back…Ya Mastaa Ndani Ya Skendo Ya Usagaji

KATIKA ulimwengu wa mastaa wa kike wa kiwanda cha sinema za Kibonngo almaarufu Bongowood, kuna wahusika wake ambao wamewahi kugandwa...

READ MORE