The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

MKWASA

Molinga, Mkwasa Freshi Yanga

HATIMAYE mshambu liaji wa Yanga, David Molinga, amemuomba radhi kocha msaidizi wa timu hiyo, Charles Boniface Mkwasa na sasa mambo yamekuwa freshi. Hatua hiyo imekuja baada ya kuibuka kwa taarifa kwamba wawili hao…

Straika Stars mtegoni Yanga

KATIKA kukiimarisha kikosi chake, Kaimu Kocha Mkuu wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa, ameomba mchezo mmoja wa kirafiki watakaocheza dhidi ya Coastal Union ya mkoani Tanga anayoichezea straika wa timu ya taifa, Taifa Stars, Ayoub Lyanga…

Mkwasa Yanga aionya TFF

BAADA ya juzi Ju­mamosi Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutangaza majina ya waliopit­ishwa kuwania nafasi mbalim­bali za uongozi wa Yanga, huku ikisisitiza kutomtambua Yusuf Manji kama mwenyekiti wa klabu hiyo,…

Mkwasa kurudi India Novemba 6

ALIYEKUWA Katibu wa Yanga, Boni¬face Mkwasa, anatarajia ku¬rudi India kwa mara nyingine tena Novemba 6 kwa ajili ya ku¬fanyiwa vipimo huku akifunguka kuwa anaendelea vizuri. Mkwasa alifany¬iwa upasuaji wa moyo mwanzoni mwa Agosti, mwa¬ka…