Mzee Yusufu Kufumbua Fumbo Dar Live
BAADA ya Mfalme wa Taarabu hapa nchini, Mzee Yusufu kuja na Narudi Mjini, sasa aja kufumbua fumbo na shoo ya kukata na shoka pale Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar.
Akizungumza na Gazeti…
