Joyce Lomalisa Atajwa Kutua Namungo msimu ujao
BAADA ya kuitumikia Yanga kwa misimu miwili kwa mafanikio, Beki Joyce Lomalisa (31) anatajwa kutua Namungo FC kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye kikosi hicho msimu ujao.
Lomalisa awali alikuwa anatajwa kujiunga Simba lakini mambo…
