The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

Ndugai

Warithi wa Ndugai Wafikia 51

NAFASI iliyoachwa wazi ya Uspika wa Bunge la Tanzania na Job Ndugai, imeendelea kushindaniwa na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambao wamefikia 51. Ndugai aliyeongoza muhimili huo wa Bunge kuanzia Novemba 2015,…

Kibajaji Amtaka Ndugai Ajiuzulu

Mbunge wa Mtera na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM (NEC), Mhe. Livingstone Lusinde 'Kibajaji' amemtaka Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai ajiuzulu wadhifa wake huo ili awaachie watu…

UWT Wamtaka Ndugai Ajiuzulu

Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi - CCM (UWT) Mkoa Arusha wamemtaka Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai ajiuzulu wadhifa wake huo ili awaachie watu wengine. Kauli hiyo imetolewa na…

Ndugai Amlilia Ole Nasha

Spika wa Bunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai, ametoa pole kwa familia, wabunge, ndugu, jamaa na marafiki kufuatia kifo cha mbunge wa Ngorongoro na Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji William Tate Ole…