Warithi wa Ndugai Wafikia 51
NAFASI iliyoachwa wazi ya Uspika wa Bunge la Tanzania na Job Ndugai, imeendelea kushindaniwa na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambao wamefikia 51.
Ndugai aliyeongoza muhimili huo wa Bunge kuanzia Novemba 2015,…
