Tshishimbi Abariki Ujio Wa Kiungo Mpya Yanga
TETESI mbalimbali ambazo zimeendelea kuripotiwa kila kukicha ndani ya Yanga, ni juu ya kocha wao, Luc Eymael kuhitaji kiungo mbadala wa Papy Kabamba Tshishimbi, hali ambayo inaonekana kutomtisha na kuibariki ifanikiwe kadri…
