×

Tag: POLISI

Dar: Mgambo Washusha Kipigo Hevi kwa Raia Kisa Usafi – Video

IKIWA ni saa chache baada ya video kusambaa katika Mitandao ya Kijamii ikionyesha askari mgambo wakimpiga kijana Robson Orotho anayedaiwa...

READ MORE

POLISI VS WALIOSUSA MAITI DAR KUMEKUCHA!

DAR ES SALAAM: TUKIO la ndugu wa marehemu Salum Kindamba kususia maiti katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili hadi Jeshi...

READ MORE

Askari Polisi Wawili Wafukuzwa Kazi Mwanza

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Jonathan Shana, amewafuta kazi askari polisi wawili jijini humo...

READ MORE

Mwanza: Polisi Wawili Wakamatwa na Meno ya Tembo

ASKARI wawili wa Jeshi la Polisi mkoani Mwanza wamefukuzwa kazi baada ya kupatikana na nyara za Serikali ambazo ni meno...

READ MORE

BREAKING: LUGOLA AMSWEKA NDANI MKUU WA KITUO CHA POLISI

WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola,  amemweka ndani Mkuu wa Kituo Kikuu cha Polisi mjini Mtwara (OCS) Ibrahim Mhando, ...

READ MORE

DEREVA WA TRENI MBARONI BAADA YA KUKUTWA AMELEWA

JESHI la Polisi Mkoa wa Tabora limewakamata watu watatu kwa matukio tofauti akiwemo dereva aliyekuwa akiendesha treni ya abiria huku...

READ MORE

BREAKING: Ndugu Wasusa Kuzika Mwili wa Ndugu Yao, Polisi Wafunguka

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi wa Temeke, Emmanuel Mkula, amezungumza na waandishi leo na kutolea ufafanuzi kuhusu na...

READ MORE

Mstaafu JWTZ Mbaroni Akituhumiwa Kukodisha Silaha kwa Majambazi

ASKARI mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) anashikiliawa na Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro kwa tuhuma za kukodisha...

READ MORE

Kauli ya Mambosasa Baada ya Polisi Kumshambulia Mwanahabari, Dar

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limelaani vikali kushambuliwa kwa Mwandishi wa Habari za Michezo, Sillas Mbise...

READ MORE

TFF Yalaani Mwandishi wa Habari Kupigwa na Polisi

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini(TFF), limelaani vikali kushambuliwa kwa Mwandishi wa Habari za Michezo, Sillas Mbise.   Kupitia Afisa...

READ MORE

Mbunge Matiko na Wenzake Waachiwa kwa Dhamana

MBUNGE wa Jimbo la Tarime Mjini (Chadema), Ester Matiko, mwandishi wa habari wa Gazeti la Tanzania Daima, Sitta Tuma na...

READ MORE

MADEREVA WAANZA KUTENGENEZA VYETI FEKI, POLISI WAWASHTUKIA

Jeshi la Polisi Nchini limesema limepata taarifa za uwepo wa madereva wa magari ya abiria ambao wameanza kutengeneza vyeti bandia...

READ MORE

Zilivyokamatwa Mashine Feki za Kubeti za Wachina – Video

Jeshi la polisi Mkoani Arusha Limekamata Mashine feki za Wachina zinazotumika kuchezeshea kamari ambazo ziliingizwa nchini kinyume na Utaratibu na...

READ MORE

Babu Miaka 71 Anaswa na Vyeti 240, Mihuri 159 – Pichaz

JESHI la Polisi mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mzee wa miaka 71 na watu wengine watatu baada ya kukutwa na Nyaraka ...

READ MORE

Kangi Lugola Amsweka lupango Askari Polisi – Video

ASKARI Polisi mmoja wa Kituo cha Utalii na Diplomasia Mjini Arusha, jana alijikuta akizindua mahabusu ya kituo hicho kwa kuwekwa...

READ MORE

Lugola: Wafungwa Wajilishe, Simu Marufuku Gerezani – Video

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amemtaka Mkuu wa Magereza nchini, Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Martin Kasike, ...

READ MORE

Sakata la Lugumi, NIDA: Lugola Ampa Mtihani Sirro – Video

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro ametakiwa kumtafuta mmiliki wa Kampuni ya Lugumi popote pale alipo na...

READ MORE

Maagizo ya Lugola Kwa IGP Kuhusu Mbwa Aliyepotea – VIDEO

WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi imekubaliana na Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi ili kubaini kilichotokea kwenye kikosi cha...

READ MORE

KIGOGO ANASWA LIVE USIKU, ASEMA “NAOMBA NIPIGWE RISASI”

MOROGORO: “Jamani kwa hii aibu sitaweza kuendelea kuishi, naomba nipigwe tu risasi nife,” hayo ni maneno ya kuonesha kukata tamaa...

READ MORE

Askari Polisi Ajiua kwa Risasi

ASKARI polisi wa kituo cha Polisi Natta,Wilayani Serengeti mkoani Mara, Nelson William,  amejiua kwa kujipiga risasi akiwa kazini jana Jumatano, saa...

READ MORE

Polisi Dar Yakamata Silaha Nzito, Matapeli wa Watalii na Benki – Video

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI JESHI LA POLISI TANZANIA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI  KUPATIKANA...

READ MORE

RPC Muroto: Madereva Dodoma, ‘Watapata Tabu Sana’! – Video

Jeshi la Polisi mkoani Dodoma limeendesha msako mkali wa magari ya abiria na mizigo pamoja na madereva wanaovunja sheria na...

READ MORE

Watapata Taabu Sana! RPC Muroto: Mnatusariti kwa Milioni 8 – Video

JESHI la polisi mkoani Dodoma limekamata Wahamiaji haramu 40 Raia wa Ethiopia pamoja na Watanzania wanne waolikuwa wakiwasafirisha Wahamiaji hao....

READ MORE

Kamanda Muroto: Siyo Tu Kwa Kipigo cha Mbwa Koko Bali…..! – Video

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Dodoma, SACP Gires Muroto amesema kauli yake ya Watapata Tabu Sana na Kipigo cha Mbwa...

READ MORE

Muroto; Muasisi wa Msemo ‘Watapata Tabu Sana’ Mnayenyoosha Masela!

HIVI karibuni nikiwa naangalia mashindano ya Kombe la Dunia kati ya Ureno na Iran, shabiki mmoja wa Timu ya Ureno...

READ MORE

Mjamzito Kujifungulia Kituo cha Polisi, Serikali Yatoa Kauli – Video

  Kufuatia tukio la mwanamke mjamzito kujifungua kwenye Kituo cha Polisi Mang’ula mkoani Morogoro, serikali imebanwa bungeni na kutakiwa kutoa...

READ MORE

Kali ya Mwaka! Bibi Noma, Awahenyesha Polisi Wenye Silaha Nzito

MOROGORO: Shubaamit! HIVI ukitazama picha ukurasa wa mbele unaweza kufikiria nini hasa? Vyovyote utakavyofikiri; mwisho wa picha duniani kuna mambo...

READ MORE

IGP: POLISI WASIOJITAMBULISHA WAKAMATWE, WAPIGWE MAWE

MKUU jeshi la polisi nchini Uganda amewaamrisha wananchi kuwakamata au kuwapiga mawe maofisa wa polisi wasiojitambulisha wanapokwenda kuwakamata washukiwa hata...

READ MORE

MTANZANIA MWINGINE AUAWA KWA KUCHOMWA VISU UINGEREZA

KIJANA wa Kitanzania kutoka Zanzibar mwenye umri wa miaka 24 (jina bado halijafahamikia) aliyekuwa nchini Uingereza, anadaiwa kuuawa kwa kuchomwa...

READ MORE

RPC Aliyepiga Biti Wanaume Kukohoa Kisa Wowowo, Ahamishwa

MKUU wa Jeshi la Polisi, IGP Simon Sirro amemteua aliyekuwa Mkuu wa Kitengo cha Kuzuia Uhalifu Makao Makuu ya Polisi...

READ MORE

Polisi Waibua Balaa Ishu ya Wanawake Wenye Makalio Makubwa!

  DAR ES SALAAM: Huu mchezo wa baadhi ya wanaume kuona wanawake wenye makalio makubwa na kujifanya kurukwa na akili...

READ MORE

AJISALIMISHA POLISI BAADA YA MAHINDI ALIYOIBA KUNASA MABEGANI – VIDEO

KIJANA Frank Japhet (23), mkazi wa Mbezi, Dar es Salaam, amelazimika kujisalimisha katika Kituo cha Polisi Mlandizi, Kibaha, Pwani, baada...

READ MORE

VIONGOZI CHADEMA WAWASILI SENTRO

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Vincent Mashinji na viongozi wenzake ameripoti katika Kituo Kikuu cha Polisi...

READ MORE

MAHAKAMANI: POLISI ‘WAWAZIBA MIDOMO’ MBOWE NA WENZAKE – VIDEO

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Freeman Mbowe na viongozi wengine waandamizi wa chama hicho, akiwemo Katibu Mkuu, Vincent...

READ MORE

NAFASI MPYA ZA KAZI JESHI LA POLISI

Jeshi la Polisi nchini latangaza nafasi za ajira kwa mwaka 2017/2018 kwa vijana waliopita mafunzo ya JKT/JKU.

READ MORE

Wakimbizi wa Ethiopia Wakamatwa Dar, Mmoja Afariki Dunia

WAKIMBIZI kutoka Ethiopia wamekamatwa usiku wa kuamkia jana Jumapili, Aprili 15, 2018 majira ya saa 9.00 usiku wakiwa wamehifadhiwa katika...

READ MORE

Breaking: Polisi Wadaiwa Kupigana Risasi Tanga, Mmoja Afariki Dunia

ASKARI Polisi waliokuwa lindoni katika Benki ya CRDB Tawi la Tanga Mjini wanadaiwa kupigana risasi leo Jumamosi, Aprili 14, 2018...

READ MORE

Polisi Wakamata Watuhumiwa 368, SMG, Pistol, Shotgun na Risasi 145

  JESHI la Polisi nchini limefanikiwa kukamata Silaha mbalimbali na watuhumiwa 368 katika Oparesheni Maalum inayoendelea katika Ukanda wa Kusini...

READ MORE

Jeshi la Polisi Lilimpa Rais Magufuli Mke – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Maguli amesema jeshi la polisi ndilo lilimpa mke aliye naye ...

READ MORE