Stars Yapewa Matumaini ya Kufuzu Kibabe Afcon… Kushinda Dhidi ya Algeria na Niger
IKICHEZA mbele ya mashabiki kibao Dimba la Mkapa jijini Dar, jana Machi 28, 2023 Taifa Stars ilishindwa kuwapa furaha baada ya kuruhusu bao dakika za mwisho mbele ya Uganda ‘The Cranes’ katika mchezo wa raundi ya nne ya kuwania kufuzu…
