Simba Waishtukia Wydad, Mipango Mipya Yasukwa
UONGOZI wa Simba, umesema kuwa, kikosi chao kitaingia uwanjani kucheza dhidi ya Wydad Casablanca, kwa tahadhari kubwa ili wafanikishe malengo yao ya kufuzu Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Timu hizo zinatarajiwa kuvaana…
