Rais wa Zanzibar Atengua Uteuzi wa Bosi wa Zanroads na Kamishna wa Idara ya Bajeti
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi leo Jumanne Septemba 12, 2023 ametengua uteuzi wa aliyekuwa Kamishna wa Idara ya Bajeti, Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango, Saumu Khatibu Ally pia ametengua…
