The House of Favourite Newspapers

Video: Rais wa Botswana Aondoka Nchini Baada ya Kumaliza Ziara Yake

0

 

Rais wa Botswana, Mokgweetsi Masisi  leo Juni 11, 2021 ameondoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam-Tanzania leo Ijumaa kurejea nchini mwake, baada ya kumaliza ziara ya siku mbili nchini humo kwa mwaliko wa Rais Samia Suluhu Hassan.

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

Leave A Reply