Video: Rais Wa Ukraine Akataa Kutoroshwa Na Marekani
RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amekataa ofa ya Marekani ya kumsaidia kuondoka Ukraine ili kuokoa maisha yake wakati majeshi ya Urusi yakiwa yameuzingira mji huo ambapo amenukuliwa akisema; “Unapotushambulia, utaona nyuso zetu, siyo migongo yetu”.