Rais John Pombe Joseph Magufuli amemteua Habbi Gunze kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA).
Uteuzi wa Gunze umeanza rasmi October 1 2018, hivyo kwa sasa Baraza la Sanaa la Taifa, limeongezewa nguvu ambapo mwenyekiti huyo atashirikiana na Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Geofrey Mungereza kuiinua sanaa hapa nchini.
Comments are closed.